QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Kwa vile hatuna uwezo wa kufikiri ndo maana JK anatoa ahadi kama hizo. Kama kwa barabara tulizonazo hata landcruiser inapata shidi kufika baadhi ya maeneo, Bajaji itwezaje? Ndiyo maana Jk wanmsema kuwa ameacha kuwa msanii amekuwa KOMEDI!! kazi ipo....