Bajaj mpyaa, weka plate number mwenyewe, bei chee

Bajaj mpyaa, weka plate number mwenyewe, bei chee

Joined
Oct 29, 2012
Posts
86
Reaction score
4
Tunauza bajaj kwa shilingi milioni 6 kila moja. Kwa atakayenunua nyingi zaidi tutampunguzia bei zaidi.
Tupo DSM,TMK mawasiliano 0653422776 au mudiduladula@yahoo.com
 
Tunauza bajaj kwa shilingi milioni 6 kila moja. Kwa atakayenunua nyingi zaidi tutampunguzia bei zaidi.
Tupo DSM,TMK mawasiliano 0653422776 au mudiduladula@yahoo.com
 
Kajipange upya. Kuna chimbo zinauzwa 5.7milion. Ukinipa hiyo 6m nakuletea bajaji mpya na change ya laki 3.

Kifupi natafta mtu wa kufanya naye hii biashara make me sina uwezo wa kuinunua kwa hivi sasa.
Nhna bodaboda 2 nimezipata hivi karibuni.

Hivo basi kama kuna mtu aje anunue bajaji kisha tuingie mkataba wa miezi 12 me nifanye kazi ya kumrudishia milioni 11 ndani ya huo muda wa miezi 12. Kifupi namhakikishia kabla ya huo muda kwa maana ndani ya miezi 8 mpaka hapo kwenye deadline tunakuwa tumemalizana kisha mzigo unakuwa wangu.

Niko hapa dar eneo ninaloendeshea lina shida ya usafiri na bajaji zipo chache sana hazikidhi mahitaji.
 
Tunauza bajaj kwa shilingi milioni 6 kila moja. Kwa atakayenunua nyingi zaidi tutampunguzia bei zaidi.
Tupo DSM,TMK mawasiliano 0653422776

hakuna picha.......?.......prety number ni nini........?
 
Tunauza bajaj kwa shilingi milioni 6 kila moja. Kwa atakayenunua nyingi zaidi tutampunguzia bei zaidi.
Tupo DSM,TMK mawasiliano 0653422776 au mudiduladula@yahoo.com

Ni shigdaaa yani bei ya bajaji sawa na passo khaaaaa!!
 
Acheni kukomalia minor issues like typing or pronunciation error, kwani ikiandikwa prety badala ya plate hamjaelewa nini? Wabongo kwa misifa lakini utendaji O.
 
Kajipange upya. Kuna chimbo zinauzwa 5.7milion. Ukinipa hiyo 6m nakuletea bajaji mpya na change ya laki 3.

Kifupi natafta mtu wa kufanya naye hii biashara make me sina uwezo wa kuinunua kwa hivi sasa.
Nhna bodaboda 2 nimezipata hivi karibuni.

Hivo basi kama kuna mtu aje anunue bajaji kisha tuingie mkataba wa miezi 12 me nifanye kazi ya kumrudishia milioni 11 ndani ya huo muda wa miezi 12. Kifupi namhakikishia kabla ya huo muda kwa maana ndani ya miezi 8 mpaka hapo kwenye deadline tunakuwa tumemalizana kisha mzigo unakuwa wangu.

Niko hapa dar eneo ninaloendeshea lina shida ya usafiri na bajaji zipo chache sana hazikidhi mahitaji.

Ndugu nipm au nicheki na hii no 0785549495,,,,tufanye biashara
 
Kajipange upya. Kuna chimbo zinauzwa 5.7milion. Ukinipa hiyo 6m nakuletea bajaji mpya na change ya laki 3.

Kifupi natafta mtu wa kufanya naye hii biashara make me sina uwezo wa kuinunua kwa hivi sasa.
Nhna bodaboda 2 nimezipata hivi karibuni.

Hivo basi kama kuna mtu aje anunue bajaji kisha tuingie mkataba wa miezi 12 me nifanye kazi ya kumrudishia milioni 11 ndani ya huo muda wa miezi 12. Kifupi namhakikishia kabla ya huo muda kwa maana ndani ya miezi 8 mpaka hapo kwenye deadline tunakuwa tumemalizana kisha mzigo unakuwa wangu.

Niko hapa dar eneo ninaloendeshea lina shida ya usafiri na bajaji zipo chache sana hazikidhi mahitaji.
Upo wapi mkuu? Bado unahitaji?
 
Back
Top Bottom