Bahati . . . . .!!

"Bahati" ni very relative kwa maoni yangu as inaweza kulead kwenye 'good au bad outcomes"

watu wana judge outcome ya kitu flani au tukio kama bahati zaidi kwa kuangalia postivie outcomes tu kama alivyosema mleta mada hapa

Ila 'bahati mbaya' huwa ipo pia pale mambo yanapokuwa kinyume. na niseme tu kuwa ili tukio liwe bahati lazima likidhi vigezo kadhaa ambavyo nadhani mojawapo ni ile kutokea kwa tukio bila kutegemewa katika hali ya kawaida.

Mfano siku izi kupata kazi imekuwa 'bahati' kwa maana ya kwamba japo una qualifications, unahitaji 'bahati' flani hivi ili mkupata kazi inayofaa

Pia, Kupata "mke mwema" imekuwa bahati pia ndo maana unasikia "ana bahati amepata mke mwema" nk.
 
Gfsonwin 'haki' ya mtu ni ipi, ili tujue kisicho haki ni kipi? Uzazi ni majaliwa ya Mungu na pia ni mpango wake pia!

hivi Kaunga do you believe kwamba wewe ni haki yako kuwa binadamu mwanamke na kuheshimiwa kama mwanamke na kama mama? na je wajua kwamba ni kwa neema tu ya Mungu wengine wanapata kuwa mama na wengine wanaishia kuwa wanawake? basi neema hii ya Mungu ndio watu hiita bahati na sikupenda sana niiweke hivyo kwani ingekaa kiimani sana. ila ukweli ndio huo. tena wataalam wa theology wanasema wazi kwamba hakunaga bahati njema ama bahati mbaya duniani bali kuna Neema ya Mungu tu. na ambayo hii wether imekufeva ama hapana haimbadilish Mungu katika nafasi yake.
 
Last edited by a moderator:
hivi Kaunga do you believe kwamba wewe ni haki yako kuwa binadamu mwanamke na kuheshimiwa kama mwanamke na kama mama? na je wajua kwamba ni kwa neema tu ya Mungu wengine wanapata kuwa mama na wengine wanaishia kuwa wanawake? basi neema hii ya Mungu ndio watu hiita bahati na sikupenda sana niiweke hivyo kwani ingekaa kiimani sana. ila ukweli ndio huo. tena wataalam wa theology wanasema wazi kwamba hakunaga bahati njema ama bahati mbaya duniani bali kuna Neema ya Mungu tu. na ambayo hii wether imekufeva ama hapana haimbadilish Mungu katika nafasi yake.

Hapo gfsonwin tupo pamoja sana....
 
Last edited by a moderator:
Hili ni neno la kiswahili lakini sijui hasa linalenga kitu gani.Nilizaliwa nikalikuta linatumika nasikia watu wanasema,"aaah jamaa amepata bahati ya kupata mke mwenye tabia njema" au unasikia "aaah yule dada amepata bahati ya kupata kazi kwenye ile kampuni".Jamani naombeni walau kidogo mnisaidie,Bahati ni nini?Ni kitu gani?Inatokeaje?
Labda nitumie mfano wako wa pili kuelezea vile ninavyofahamu/amini:

Ni kweli unaweza kuwa na sifa ya kupata kazi/kuajiriwa, lakini vipi kama ikitokea, kwa mfano, kuwa mpo potential candidates 20 wote mna sifa zinazofanana (assume you all have absolute equal chances) lakini kwa kuwa anahitajika mmoja tu, wewe ukapewa nafasi hiyo? Hakuna ulichawazidi hao wengine 19 lakini ukachaguliwa wewe? Mimi ningeiita hii ni "bahati". Au katika mfano huu huu, chukulia kuwa katika hao 20, wewe ulikuwa third best na kampuni ikaamua kumuita kazini yule wa kwanza, lakini for some reasons yule wa mwanzo anabadili mawazo hataki kuajiriwa na kampuni hiyo, na yule wa pili for some reasons hakuweza kupatikana na hivyo nafasi hivyo "kukuangukia" wewe. Unaweza ku-reflect mfano huu kwenye hilo suala la kupata mwenza pia.
 
gfsonwin,unachanganya mambo,umesema bahati ni kitu unachopewa na Mungu kilichokua sio stahili yako!Hii inawezekanaje?Sote tunajua Mungu ni mkamilifu hakosei,kama kitu au jambo hilo hakikustahili kupewa wewe,Mungu alikosea kukupa?Kama aliamua tu kukuchagua wewe kama unavyosema,je Mungu ana upendeleo?Umesema wewe na mumeo hamkupanga kupata watoto lakini Mungu aliwapa tu,so unadai hiyo ni bahati,gfsonwin acha utani,mlikua hamjamiiani?I don't think so.Kama mlikua mnajamiiana,mlitarajia nini?Mungu ameweka utaratibu wa kuongezeka mwanadamu ni kujamiiana kati ya mwanamke na mwanaume katika nyakati ambazo mwanamke yuko kwenye hali ya kupata ujauzito,haijalishi unajua au haujui,ukitimiza huo utaratibu unapata ujauzito.Hiki ndo kiliachokutokea wewe,bahati inasimama wapi hapa?
 
Kaizer,bado hujaeleza bahati bana.Umetoa mfano unaotoa swali.Mtu kupata kazi ni bahati,kiaje?Bahati ni nini?
 
Hili ni neno la kiswahili lakini sijui hasa linalenga kitu gani.Nilizaliwa nikalikuta linatumika nasikia watu wanasema,"aaah jamaa amepata bahati ya kupata mke mwenye tabia njema" au unasikia "aaah yule dada amepata bahati ya kupata kazi kwenye ile kampuni".Jamani naombeni walau kidogo mnisaidie,Bahati ni nini?Ni kitu gani?Inatokeaje?

Jambo/kitu kinachukuliwa kama bahati iwapo upatikanaji wake ni mdogo au 50/50. Ndo maana hapo kwa red inaonekana kama bahati kwani kuna watu kibao tu wameoa wake wasio na tabia nzuri au waume wasio na tabia nzuri. Pia kuna watu kibao tu wanaomba kazi wanaishia kukosa. Hali kadhalika kuna watu wanahitaji watoto lakini wanakosa.

Kwa kutambua hili (possibility ya 50 +ve outcome and 50 -ve outcome) ndo maana tunashauriwa kumuomba Mungu ili atupe bahati, yaani +ve outcome
 
Hili ni neno la kiswahili lakini sijui hasa linalenga kitu gani.Nilizaliwa nikalikuta linatumika nasikia watu wanasema,"aaah jamaa amepata bahati ya kupata mke mwenye tabia njema" au unasikia "aaah yule dada amepata bahati ya kupata kazi kwenye ile kampuni".Jamani naombeni walau kidogo mnisaidie,Bahati ni nini?Ni kitu gani?Inatokeaje?

Ni majaaliwa ya kuwa mteule wa jambo ikiwa zuri au baya miongoni mwa watu wengi ambao hawakujaaliwa. Na tunaposema majaaliwa ina maana kuwa ni hali inayotokea wenyewe na sio kwa uweza wa muhusika.
 
Ni majaaliwa ya kuwa mteule wa jambo ikiwa zuri au baya miongoni mwa watu wengi ambao hawakujaaliwa. Na tunaposema majaaliwa ina maana kuwa ni hali inayotokea wenyewe na sio kwa uweza wa muhusika.

Unamaanisha upendeleo au??
 
Unamaanisha kitu gani hapa?

Namaanisha sisi binaadamu tunatowa hiyo tafsiri ya upendeleo. Labda ungekumbuka wakati wa Kampeni za urais wa Marekani ungeona jinsi tunavyoona ubora na udhaifu. Kama bado umetatizwa niko huru, sema tu!
 
Namaanisha sisi binaadamu tunatowa hiyo tafsiri ya upendeleo. Labda ungekumbuka wakati wa Kampeni za urais wa Marekani ungeona jinsi tunavyoona ubora na udhaifu. Kama bado umetatizwa niko huru, sema tu!

Kama sisi ndo tunatoa hiyo tafsiri hebu niambie nini maana ya neema!
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom