Mkuu unajua kabisa kuwa sitakutafuta, ni vyema utoe maelezo jukwaani Kwa faida ya sana darisalama wote ambazo wanapenda kushiriki.
Hayo ni mauzo, faida ni shi ngp?Hii naijua toka nikiwa O-level na shangaz yangu ambae yupo USA ndo aliwahi kunielekeza ila niwa elimishe wengne wanaotaka kwenda USA ila kwa m binafsi wala hata sihitaji
kule inabdi uwe na pesa kama kianzio ndo maisha yako yanaweza yakaenda vzur huku ukiwa una tafta kaz maana mara ya kwanza hua n ushamba kushangaa shangaa
M nikitaka kwenda huko ntaenda ila kwa sa hv sion sababu yakwenda huko na miaka 22 sa hv nasoma pharmacy nikimalza nahtaj kua na maduka makubwa ya dawa za jumla na reja reja heka za mtaj tayar ninazo maana hela zipo na duka la jumla ya pharmacy yan kwa siku yan hapo hakuna wateja sana umeuza laki 4 hv ila siku mambo mazur milion 1-3 sa nyingine kwa siku hapo kwa mwez na bado hujagawa chet.. ili ulipwe
Chakuwa shauri jenga maisha hapa kwanza huko utaenda tu bila hata bahat na sibu weng wanaofanikiwa
maisha hua haya washinda kule m niliwah kufka maisha ya kule n akil kumkichwa na kwenda kule kwa njia ya elm nnrahs sana
Kama una kitu chakufanya jtahd ufanye ufankiwe kwanza huku ndo ujarb na kule weng niliwaona n homeless ukijtahd unapata hela ya kula na kulala sa maisha gan hayo labda kama umeyachagua
Na kama ukichaguliwa sio sababu ya wewe pupata visa na ubaloz nao una mambo yake na ukipata visa ukaenda kule unaweza ukard Tz kusalimia ila haitakiw kuzd miez mi will kwa mwaka ukizidisha tu hapo unapoteza green card yako ambayo ina kufanya uwe permanent residence na kama uki chaguliwa na ukapta interview hutakiwi kuzidisha miez 6 upo Tz una takiwa usepe la sivyo visa yako ita expire na ndo utazuiliwa we komaa na Tz wanao fankiwa huku hata kule maisha yao hua n ya raha sa we maisha huku n tabu ukienda kule una taka eesy money haya utaishia kua porn star
Nipe hiyo kazi ya Ku edit picha, ninao uwezo huo,nimewafanyia watu wengi walioomba miaka ya nyuma.mkuu mie nilijaribu ila sehemu ya kuweka picha ikagoma haileti option.
Hayo ni mauzo, faida ni shi ngp?
Hayo ni mauzo, faida ni shi ngp?
Kabla ya kufungua link niandae vitu gn ili viwe visaidizi ktk kujaza?Binafsi,
Sijawahi kupata,
Ila nimechezea watu wengi.
Wenye bahati zao wachache, wamewahi KUCHAGULIWA na mwishowe kupata kabisa VISA.
Hivyo naujua MCHAKATO huu kupitia kufanya, kuanzia mwanzo hadi mwisho.
Huku nami nikiendelea kubahatisha.
Picha zenye vigezo vinavyotakiwa, particulars zako sahihi pamoja na wanaokuhusu i.e Watoto na Mke iwapo unao basi.
Binafsi sijawahi kutumia simu kutuma Hivyo, siwezi kulisemea hilo kwa uhakika.mkuu unaweza ukatuma kwa kutumia simu?au lazima utumie computer?maana nimepitia wanasema usitumie browser ya zamani kama internet explorer 8 machine zao zitakataa kupokea,sasa nina wasiwasi ukitumia simu inawezekana ika fail,nisaidie mawazo
Sasa hauoni kua ww tayari mambo yashanyoka na mtaji wa wholesale pharmacy kabisa.wenzio hawana hata mtaji wa duka la dawa muhimu,wacha waende wakajaribuHii naijua toka nikiwa O-level na shangaz yangu ambae yupo USA ndo aliwahi kunielekeza ila niwa elimishe wengne wanaotaka kwenda USA ila kwa m binafsi wala hata sihitaji
kule inabdi uwe na pesa kama kianzio ndo maisha yako yanaweza yakaenda vzur huku ukiwa una tafta kaz maana mara ya kwanza hua n ushamba kushangaa shangaa
M nikitaka kwenda huko ntaenda ila kwa sa hv sion sababu yakwenda huko na miaka 22 sa hv nasoma pharmacy nikimalza nahtaj kua na maduka makubwa ya dawa za jumla na reja reja heka za mtaj tayar ninazo maana hela zipo na duka la jumla ya pharmacy yan kwa siku yan hapo hakuna wateja sana umeuza laki 4 hv ila siku mambo mazur milion 1-3 sa nyingine kwa siku hapo kwa mwez na bado hujagawa chet.. ili ulipwe
Chakuwa shauri jenga maisha hapa kwanza huko utaenda tu bila hata bahat na sibu weng wanaofanikiwa
maisha hua haya washinda kule m niliwah kufka maisha ya kule n akil kumkichwa na kwenda kule kwa njia ya elm nnrahs sana
Kama una kitu chakufanya jtahd ufanye ufankiwe kwanza huku ndo ujarb na kule weng niliwaona n homeless ukijtahd unapata hela ya kula na kulala sa maisha gan hayo labda kama umeyachagua
Na kama ukichaguliwa sio sababu ya wewe pupata visa na ubaloz nao una mambo yake na ukipata visa ukaenda kule unaweza ukard Tz kusalimia ila haitakiw kuzd miez mi will kwa mwaka ukizidisha tu hapo unapoteza green card yako ambayo ina kufanya uwe permanent residence na kama uki chaguliwa na ukapta interview hutakiwi kuzidisha miez 6 upo Tz una takiwa usepe la sivyo visa yako ita expire na ndo utazuiliwa we komaa na Tz wanao fankiwa huku hata kule maisha yao hua n ya raha sa we maisha huku n tabu ukienda kule una taka eesy money haya utaishia kua porn star
Nitajie gharama utakayonichaji kwaajili ya kunijazia form kwa uboraNimeshawachezea watu wengi mno na hilo halijawahi na haliwezi kunitokea ikikupendeza nitafute:
+255 714 59 15 48.
Makandokando ukiwa unamaanisha nini Mkuu???Mkuu ndio maana ikaitwa Bahati nasibu.
Kama unayo nia utaendelea kucheza.
Ukikata tamaa nayo Hewala.
Lakini, usipotoshe watu na kuwavunja moyo kwa kuwaaminisha kuwa ni ngumu kupata sema;
'INAHITAJIKA BAHATI NA KUTOKATA TAMAA'.
Lakini, kwani unakimbilia wapi ucheze mwaka huu na upate hapohapo?
Shida wengi wetu tuna Kiu ya Mafanikio ya marammoja.
Amini,-wapo waliocheza mara moja tu,
Wakachaguliwa, na mwisho kufaulu Usaili(Visa Interview) wameondoka na sasa wanamambo yao huko.
Hata hivyo nitoe ANGALIZO:
Kuchaguliwa si Tiketi ya kupata VISA,
Kwani ukichemka kufuata maelezo yao tangia awali inaweza kula kwako.
Kwahiyo kama mtu una makandokando yako hasa ya Elimu utapoteza muda kuifuatilia hii kitu, sababu jamaa wapo makini na kwao wao (Vyeti baba!)
Nia yangu katika hili ni kusaidia.Mwanangu sijakupata vizuri