Mpasuajipu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 836
- 49
Ndg wanajamvi,
nimekuwa nikifuatilia sana baadhi ya matangazo na bahati nasibu zinazotangazwa na wenye mitandao ya simu kama VODA, ZANTEL ,TIGO NA SASA AIRTEL.
mfano Zantel walikuwa wanatangaza bahati nasibu ya HAMIS MA SMS ya takribani milioni 15.
utasikia wanatangaza washindi lakini mie sijawahi kumshuhudia au hata kusikia rafiki yangu wa karibu kashinda hizo zawadi.
kwa wale wanaojua ukweli hebu tuambieni hizi bahati nasibu ni kweli au ndio njia nyingine ya kulipia DOWANS?:coffee:
Napenda kuwasilisha.
nimekuwa nikifuatilia sana baadhi ya matangazo na bahati nasibu zinazotangazwa na wenye mitandao ya simu kama VODA, ZANTEL ,TIGO NA SASA AIRTEL.
mfano Zantel walikuwa wanatangaza bahati nasibu ya HAMIS MA SMS ya takribani milioni 15.
utasikia wanatangaza washindi lakini mie sijawahi kumshuhudia au hata kusikia rafiki yangu wa karibu kashinda hizo zawadi.
kwa wale wanaojua ukweli hebu tuambieni hizi bahati nasibu ni kweli au ndio njia nyingine ya kulipia DOWANS?:coffee:
Napenda kuwasilisha.