Mwigulu anatuharibia soka letu nashangaa watu wako kimya kana kwamba hawaoni mienendo yakeSina neno picha imejitosheleza.View attachment 2929876
Punguzeni hisia wazee...,Mbona Tff, wizara ya michezo kuanzia Waziri mpaka Naibu wote Simba na wala hausikii Yanga wakilialia.Mwigulu anatuharibia soka letu nashangaa watu wako kimya kana kwamba hawaoni mienendo yake
nahisi walipewa na akapokea mangunguTarehe 5/11/2023 mlipewa bahasha yenye kiasi gani?
Amka utoke Usingizini. Mbona Azam TV ambayo iko kwenye kampuni inayomiliki Azam FC bado ina sponsor timu za Yanga na SImba pia. Tanzania hatuna sponsors wengi wa michezo, ni vizuri hao wachache wanaopatikana wazisaidie hata timu ndogo. Kwa muda mrefu sana SportPesa alikuwa sponsor wa Yanga na Simba pamoja na klabu nyingine nyingi, wala SImba haikuwahi kulalamika kuwa wanapata maagizo kutoka kwa Talimba, na kwa kipindi chote hicho Simba ilikuwa ikiifunga sana Yanga. Simba walihamia M-Bet kwa sababu ya dili tu siyo kwa sababu ya kusukumwa na SportPesa.Mchezo umeisha.Hii TFF na Bodi ya ligi hawaoni hii conflict of interest.
Tunamkumbusha HERSI na Genge lake, huu uhuni haujawahi kudumu Tanzania!SEMA SISI YANGA TUNA HELA YANI TEAM ZOTE KWENYE LIGI TUNAZIPA HELA TUZIFUNGE HADI MAKOLO HALAF BADO TUNASAJIRI WACHEZAJI!!!
#TheClubAboveAll
Mh?? Kwamba Mo na Bakresa wana pesa halali? No huyu mwizi wa mashamba tanga?Yanga miaka yote ambayo Serikali imejaa UFISADI ndipo huwa inatawala Ligi. Ukitaka kujua kipindi kipi Wizi Serikalini umekithiri angalia Yanga kipindi cha YUSUPH MAJI na sasa GSM.
Lkn uzuri ni kwamba Awamu ijayo akija RAIS makini GSM anafirisiwa, anakimbia Nchi mali zake Serikali inachukua Yqnga anarudi kwenye Bakuri.
Yanga miaka yote inavuma kwa Pesa za Ufisadi. Over, kama unabisha kamuulize Manji.
GSM anakwepa Kodi.
GSM kapora Ardhi ya Umma kule Kurasini kafanya Yard.
Mbowe Club GSM kafanya Parking.
GSM ni shida kila kona kisa amejificha nyuma ya Yanga na Msoga Gang.
Tunamkumbusha HERSI na Genge lake, huu uhuni haujawahi kudumu Tanzania!
Wasiishi kwa mazoea kesho tunawamaliza😏
Kama Vile wewe na Mkeo Hamtodumu.Tunamkumbusha HERSI na Genge lake, huu uhuni haujawahi kudumu Tanzania!
Sawa Chawa MWIJAKUKama Vile wewe na Mkeo Hamtodumu.