LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,457
Umri unavoongezeka na majukumu na msongo wa mawazo kuzisaka pesa automatically pesa inatafutwa kwa jasho na uchovu ndugumkuu nawe ni ke nidokeze kidogo huenda tunafichwa na wake zetu then tunajiona vidume kumbe la
huwezi kuwa na pesa afu unamkamia mwanamke bao 4 km jobless people
Wengi huishia 2 ama kimoja analala kachoka!