Baharia tunza 'mpini' wako vizuri

Wanawake wengi wakifikia miaka 30+ hupenda sana tendo na kuridhishwa ipasavyo. Sasa kwa baharia kama hatakuwa na nguvu za kutosha lazima kutakuwepo na migogoro au migongano isiyokuwa ya lazima. Mfano bibie atataka apewe saba sasa wewe uwezo wako ni kimoja baada ya masaa 12, hapo ni lazima dharau na kuchepuka kuwepo. Au bibie atataka akunjwe hivi, wakati huo wewe hiyo pumzi huna.

Mbaya zaidi wakati wewe umemaliza, mwenzako anakuambia bado yeye anataka...huku ukiangalia mpini ulishalegea. Hiyo ni fedheha sana wakuu. Tujitahidi kutunza mipini yetu na kuimarisha afya zetu wakati tukiwa vijana ili tuwafurahishe wapenzi wetu huko ukubwani na uzeeni.
Before marriage nilikutana na mtu ni ameshiba nikasema leo lazima nilewe japo nisisikie mapigo nikawa mawazoni .
Nimechi ya big show na katoto kazuri sasa nikawa napiga tu tungi tena mechi hiyo nimeridhia basi mpendwa kila kitu was amazing ila kimoja tu ni mpini.
Kimoja tu kalala unamuamsha haamki.
Nguvu yote kumbe hewa yupo nimeshamaliza 🙄🙄 nikakaa nikaona ngoja nilale .
 
Before marriage nilikutana na mtu ni ameshiba nikasema leo lazima nilewe japo nisisikie mapigo nikawa mawazoni .
Nimechi ya big show na katoto kazuri sasa nikawa napiga tu tungi tena mechi hiyo nimeridhia basi mpendwa kila kitu was amazing ila kimoja tu ni mpini.
Kimoja tu kalala unamuamsha haamki.
Nguvu yote kumbe hewa yupo nimeshamaliza 🙄🙄 nikakaa nikaona ngoja nilale .
Ungemsaidia kuiamsha,angalau amalizie nusu mechi
 
Tafuta mwanamke mwenye miaka kuanzia 30----48 kwaufupi Lidada kama sio limama kutegemea na umri wako.

Alafu mkaze kwelikweli akojoeeee .

Utanipa mrejesho, huwa wananata kama Sumaku.Ndio maana, vibinti chini ya 28 hapo, kanaweza kukuacha kimasihara hata kama ulikua unakagonga vipi, hata kama ulikua unakesha , kanakuachaaaaaaa peeeeeeee asubuhi kweupe .. unajua kwann???

Kwao Ngono sio sehem ya kuridhikaa ni vinafanya ili mradi vihesabu, leo nmefanya, leo kanifanya kanipa hela, leo fulani HB kanifanya , leo n.k n.k. yaan unaweza kukatia leoo, kesho ukatatia keshoo,yaan hata kila siku ili mradi tu kakija anaondoka nakitu.

Unajua kadiri mwanamke anvyokua mkubwa wa Umri, kuna mabadiliko ya kimwili na homoni anayopitia, nandio yanawafanya wanakua na K tamuuuuuuuuuu zaidi ya Asali.


Tafuta mwanamke anayekaribia Ukomo wa Hedhi yake yaan 45 ---49 pigaaaaaa K yake , Utajikuta unakaaacha kale kademu kako ka Chuo.
Dr. Vipi huko hosptl unakula tu
 
Back
Top Bottom