Abbasfarudume
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,625
- 1,324
Tamu sana aiseee mkuuHaziwezi kukuacha salama
Uzipatie na passion juice
Noma mkuu usikumbushie, watu walikuwa roho mkononiNimekumbuka mbu wa dengua
Uko sahihi mkuuShushia na juice weee
Na pilipili ya chachandu mkuuNgoma bagia za kunde. Tena wasiisage mashineni. Waitwange.
Noma noma noma noma.Kuna sehemu ipo Iringa kama unaenda Mkwawa Museum iseee acha kabisa...
Tuko wengi mkuu.Daaah mzee baba, haya ndio mambo yangu
Watu tulikuwa tunajikalia kwenye net kipind cha jua kaliNoma mkuu usikumbushie, watu walikuwa roho mkononi
Mpaka kuchat ndani ya net mkuuWatu tulikuwa tunajikalia kwenye net kipind cha jua kali