Bae niongezee hela ninunue S9+

Bae niongezee hela ninunue S9+

Hivi na yeye anaujua ule wimbo wa Nandi?

Maana mimi nina marafiki zangu hapo jirani walio kwenye rika lake na wanaujua huo wimbo mwanzo mwisho.

Kuna siku niliwaambia waniimbie halafu ntawanunulia pipi nikienda supermarket na wakaniimbia bana.

Nilishangaa sana!
mkurya wangu anajua kucheza tuu
 
2.3m napata machine 6 za popcorn ambazo kila week zinaleta laki 3 na 60, ambayo nikikusanya kwa miezi 2 napata hiyo simu na faida juu ya biashara.
Ila ungempa hata laki 3 jamani sio kumkaushia kabisa.
Akili kama hii alie/atakaekuoa ana bahati sana.
Ningependa wengine wasome post hii wajifunze.
 
Back
Top Bottom