Bae niongezee hela ninunue S9+

Bae niongezee hela ninunue S9+

You’ve been so good to me.

Especially what you did to me yesterday.

I owe you something really really nice.

And my word is bond. So just hang tight and you’ll love it!
Sasa hii lugha NN umenitupa. Wewe rafiki angu japo unanitia kwenye vitanzi vingi cha kuchukiwa ila mi siwezi kukuchukia kama wanavyotaka.
 
Sema na wewe umekaa kipedeshee sana halafu unajifanya fala flani .kumbe hufai.mwanamke ambae hajakusoma sana hatocheua mbele yako lazima aharibu dakika mbili tu za mwanzo.una kainnocent face na smile kumbe???
What? Aharibu kivipi?
 
Sema na wewe umekaa kipedeshee sana halafu unajifanya fala flani .kumbe hufai.mwanamke ambae hajakusoma sana hatocheua mbele yako lazima aharibu dakika mbili tu za mwanzo.una kainnocent face na smile kumbe???
Kama anafaa kuwa sponsor namuomba basi. Maana mi wala sina invoice na nitampenda ila nijue tu siku nikiwa na shida atanisaidia
 
Halafu billing cycle ijayo ntakulipia mimi ile bill ya DSTV!

Wewe sikuamini. Nikikupa hela ukalipie si ajabu utakosea tena kama ile siku.

Teh teh unakumbuka?
L kaniambia nimwambie anko Juju amlipie DSTV this time. Mama kalipa cha 19000 tu
 
HAHA HA HA!

Hawa watu hawa, anyway ngoja tuendelee kutumiana tu.
 
Mkuu inawezekana ilikuwa uongezee just 50 tu hapo.


Huwa tunakuwa tushapangwa bae kadhaa wakuongezea....
 
Back
Top Bottom