Bae niongezee hela ninunue S9+

Mi najua kula,kulala basi mengine fanyeni nyie nimewaachia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
2.3M nikanunue simu? Labda kwa sababu sina ila sinunui ng'ooo hata nikipewa. Bora nikanunulie hisa kwenye vicoba najua mwisho wa mwaka sikosi faida ya 1M.
 
I hate to generalize and/ or stereotype...but damn!

Mademu wa kibongo na simu!!

What’s up with that?
Snap chat tuuuuu. Halafu tukiwa na simu nzuri mnatuona matawi kama ukinitongoza unanitreat vizuri. Ndo wanavyosema lakini sio mimi [emoji23][emoji23]
 
Ila wanaume jamani mie naona akili zenu hazitaki tu kuombwa hela
Mbona mimi nimeomba ya kuongezea mtaji naambiwa pambana na hali yako?
Mimi Hujaniomba Ningekutumia sasahivi....tiGO pesa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…