bado...

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,459
Reaction score
61,724
familia ya Juma walikua wanalala chumba kimoja na mtoto wao,wenyewe kwenye kitandani cha kamba dogo analala kwenye mkeka chini.
siku moja wakati wa majambozi huku wakijua dogo kasinzia Juma akamuuliza mkewe "imeingia?"kabla mama hajajibu dogo kadakia;
BADO haijaingia hii huku chini.
 
analala uvunguni? hahahhahhahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…