Bado wapo wenye imani na CHADEMA?

Bado wapo wenye imani na CHADEMA?

Soma sheria za jamii forums kabla hujapost kitu chenye uchochez njoo somalia utapata jibu
 
Haa ngabu bado tuna imani na chadema. Kwani wewe umewezaje kuwa na imani na ccm baada ya kuboronga toka Uhuru mpaka Leo? huku umeshikilia kuwatangaza USA tangaza Tanzania ya ccm basi wametufanya tumekuwa..... mbele za majirani zetu bado watu wameendelea kuwa na imani nao. Ccm imetufikisha sehemu ambayo jirani ameota mapembe anadesa mpaka mpaka ya nchi yetu kwao!
 
Lengo letu policcm watubeze then hapo kila kitu kinakua safi
Maana imeandikwa ukiipuuza kua chadema haipo hapo ndio chadema huibuka
 
Hawa CHADEMA ndo basi tena.

Naona wapo kwenye mwendokasi wa kuelekea kaburini.

Hii si mara yao ya kwanza kuwapandisha watu mzuka halafu wanaishia kubadili gia angani na kuwaacha watu wakining'inia.

Nani tena atawaamini hawa jamaa? Manake baada ya kuwaaminisha watu kwa miaka mingi kuwa Lowassa ni fisadi, matokeo yake ndo akaja kuwa mgombea wao. Mamlaka ya kimaadili ya kukemea ufisadi wakayapoteza.

Baada ya kuwapandisha watu mzuka wa UKUTA, leo wameufyata mbele ya Ngosha.

Sasa eti wametangaza hayo maandamano yatafanyika Oktoba mosi.

Watampata nani hiyo Oktoba mosi? Wake, waume, na watoto wao?

Wameishiwa kabisa. Hawana jipya tena. Hawana dira wala mwelekeo wowote ule.

Mtu afadhali unaweza kusema kuwa kabla ya ujio wa Lowassa kwamba watu walijua wanasimamia nini na wanasimama wapi.

Lakini leo hii nani anayejua wanachokisimamia? Nani anajua wanaposimama?

Walishindwa hata kuwashawishi wapinzani wenzao kuwaunga mkono ki hali na ki mali kwenye huo UKUTA wao. Wengine wakadiriki hadi kuwatakia kila la kheri na kuwaahidi kuchangia damu endapo wangehitaji baada ya kupokea kichapo cha vijana wa Ngosha.

Matokeo yake tingatinga limepita na kuusambaratishia mbali.

Wanahitaji uongozi mpya wenye maono mapya la sivyo wataenda bye bye for good.
Mi naimani tena zaidi kwa kuwa kama Chadema,wasingee kaa na kutangaza ukuta,watu wengi wasingejua uoga wa watawala,wameandaa majeshi yetu,tena utadhani kwamba wanaenda kupambana na taifa kama marekani,na pili kama ni imani basi afadhali niiamini chadema kuliko matamko ya kuzuia uingizaji wa sukari alafu unaingiza.
 
Hawa jamaa leo wamefanya makosa ambayo watakuja kuyajutia huko mbele....
Walichokifanya ni sawa na mchezaji wa mpira aliyebaki na goalkeeper halafu akapiga mnazi....
Lumumba mnaongoza kwa unafiki,kwa hiyo watu wangepigwa na kuuwawa au kuumizwa ndio angekuwa wamefanya busara embu kuweni na akili nyie msishabikie upuuzi.
 
Lumumba mnaongoza kwa unafiki,kwa hiyo watu wangepigwa na kuuwawa au kuumizwa ndio angekuwa wamefanya busara embu kuweni na akili nyie msishabikie upuuzi.
mwanzo mbona mlisema mpo tayari kufa kutetea ukombozi?? au mnayakana tena maneno yenu?
 
Hawa CHADEMA ndo basi tena.

Naona wapo kwenye mwendokasi wa kuelekea kaburini.

Hii si mara yao ya kwanza kuwapandisha watu mzuka halafu wanaishia kubadili gia angani na kuwaacha watu wakining'inia.

Nani tena atawaamini hawa jamaa? Manake baada ya kuwaaminisha watu kwa miaka mingi kuwa Lowassa ni fisadi, matokeo yake ndo akaja kuwa mgombea wao. Mamlaka ya kimaadili ya kukemea ufisadi wakayapoteza.

Baada ya kuwapandisha watu mzuka wa UKUTA, leo wameufyata mbele ya Ngosha.

Sasa eti wametangaza hayo maandamano yatafanyika Oktoba mosi.

Watampata nani hiyo Oktoba mosi? Wake, waume, na watoto wao?

Wameishiwa kabisa. Hawana jipya tena. Hawana dira wala mwelekeo wowote ule.

Mtu afadhali unaweza kusema kuwa kabla ya ujio wa Lowassa kwamba watu walijua wanasimamia nini na wanasimama wapi.

Lakini leo hii nani anayejua wanachokisimamia? Nani anajua wanaposimama?

Walishindwa hata kuwashawishi wapinzani wenzao kuwaunga mkono ki hali na ki mali kwenye huo UKUTA wao. Wengine wakadiriki hadi kuwatakia kila la kheri na kuwaahidi kuchangia damu endapo wangehitaji baada ya kupokea kichapo cha vijana wa Ngosha.

Matokeo yake tingatinga limepita na kuusambaratishia mbali.

Wanahitaji uongozi mpya wenye maono mapya la sivyo wataenda bye bye for good.
imekula kwako maana na wewe ni miongoni mwa watu waliokuwa wanasubiri kuona mapambano kati ya watu wasiokuwa na silaha na watu wenye silaha za vita,na kwa ujinga wako ukategemea kwamba ndio itakuwa mwisho wa upinzani tanzania maana wapizani wote wangeuwawa siku hiyo kumbe wanachokifanya wenzako ni kuakikisha ujumbe wa ukandamizaji unawafikia watu. na hayo mawazo sio yako pekeyako hata viongozi wako nao ndivyo walivyokuwa wanafikiri hivyo,kwa hiyo hata wao wanamasikitiko makubwa maana walikuwa wamejiandaa
 
Back
Top Bottom