Bado sijapata mwanaume mwenye nia

Bado sijapata mwanaume mwenye nia

coolgal

Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
58
Reaction score
75
Habari zenu wapendwa

Kuna kitu inatakiwa mjifunze wanaume msiwachukulie wanawake Kama ni viumbe wa kuwafanyia mtakavyo.

Mimi uwa na imani mwanaume ambae anweza mdanganya mtoto wa kike akamtumia akamua kwa sababu tu alitaka aonjee akihisi ni karanga

Hebu tujifikirie kitu kwani wewe ulisha lala na mwanamke utamu ukazidi masaa 24 unausikilizia Kama jibu ni hapana lazima ukojoe na hamu ikate fahamu ipate kukuludi na ujutie Kuna haja gani ya kulala na Kila mwanamke au kumdanganya mwanamke

Mimi uwa naona mwanaume ambae anatabia za aina iyo ni urimbukeni na ushamba na mwisho wao ni mbaya maana mwanamke ni mtu pekeee mwenye matatizo mengi ndomaana wengine mnachukua laaana na hamjui mlipo zipata at kanisani wanao anguka ni wanawake Sana mda mwingine mnajitakia mikosi

Mtu mwenye akili timamu ameeelewa Kuna demu mwengine ukidet nae tu wiki hupatiii pesa utatafuta mchawi uta muona



Hebu vuta pumzi mtoto wa kiume unajisikiaje mama yako angefanyiwa hayo au ungejisikiaje mkeo angefanyiwa hayo au dada zako au ndugu zako wa kike

Naimani Kama umelelewa familia zenye kheri na baraka na maadili ya dini uwezi fanya hayo na Kama umelelewa na mama tu utaelewa namaanusha nini ndomaana nawapenda mayatima wa kiume walio pata uyatima tangia mdogo au Alie lelewa na mama tu still anakua na uchungu na mwanamke

Hebu badilikeni muwe na huruma

Namaaanisha ambao sijawajibu pm wajitafakari tabia zao na wasini pm Tena

Waje wapya mie pia Nina haki ya kuishi na mtu mwenye utu daima na akili timamu

Bado jlsijapata mtu pm wazi sitaki majaribu

Mwanaume mwenye penzi la dhati ukuje
 
Pole sana. Wa mwisho alikuwa ni wa ngapi kwako? Je, wote hao ni mwaka huu tu au? Binti, tulia jikaze, atakuja tu wa kwako wa ukweli
 
Habari zenu wapendwa

Kuna kitu inatakiwa mjifunze wanaume msiwachukulie wanawake Kama ni viumbe wa kuwafanyia mtakavyo.

Mimi uwa na imani mwanaume ambae anweza mdanganya mtoto wa kike akamtumia akamua kwa sababu tu alitaka aonjee akihisi ni karanga

Hebu tujifikirie kitu kwani wewe ulisha lala na mwanamke utamu ukazidi masaa 24 unausikilizia Kama jibu ni hapana lazima ukojoe na hamu ikate fahamu ipate kukuludi na ujutie Kuna haja gani ya kulala na Kila mwanamke au kumdanganya mwanamke

Mimi uwa naona mwanaume ambae anatabia za aina iyo ni urimbukeni na ushamba na mwisho wao ni mbaya maana mwanamke ni mtu pekeee mwenye matatizo mengi ndomaana wengine mnachukua laaana na hamjui mlipo zipata at kanisani wanao anguka ni wanawake Sana mda mwingine mnajitakia mikosi

Mtu mwenye akili timamu ameeelewa Kuna demu mwengine ukidet nae tu wiki hupatiii pesa utatafuta mchawi uta muona



Hebu vuta pumzi mtoto wa kiume unajisikiaje mama yako angefanyiwa hayo au ungejisikiaje mkeo angefanyiwa hayo au dada zako au ndugu zako wa kike

Naimani Kama umelelewa familia zenye kheri na baraka na maadili ya dini uwezi fanya hayo na Kama umelelewa na mama tu utaelewa namaanusha nini ndomaana nawapenda mayatima wa kiume walio pata uyatima tangia mdogo au Alie lelewa na mama tu still anakua na uchungu na mwanamke

Hebu badilikeni muwe na huruma

Namaaanisha ambao sijawajibu pm wajitafakari tabia zao na wasini pm Tena

Waje wapya mie pia Nina haki ya kuishi na mtu mwenye utu daima na akili timamu

Bado jlsijapata mtu pm wazi sitaki majaribu

Mwanaume mwenye penzi la dhati ukuje
Penzi la dhati lipo ila hela za kuchezea ndio hakuna vipi tusogee?
 
Habari zenu wapendwa

Kuna kitu inatakiwa mjifunze wanaume msiwachukulie wanawake Kama ni viumbe wa kuwafanyia mtakavyo.

Mimi uwa na imani mwanaume ambae anweza mdanganya mtoto wa kike akamtumia akamua kwa sababu tu alitaka aonjee akihisi ni karanga

Hebu tujifikirie kitu kwani wewe ulisha lala na mwanamke utamu ukazidi masaa 24 unausikilizia Kama jibu ni hapana lazima ukojoe na hamu ikate fahamu ipate kukuludi na ujutie Kuna haja gani ya kulala na Kila mwanamke au kumdanganya mwanamke

Mimi uwa naona mwanaume ambae anatabia za aina iyo ni urimbukeni na ushamba na mwisho wao ni mbaya maana mwanamke ni mtu pekeee mwenye matatizo mengi ndomaana wengine mnachukua laaana na hamjui mlipo zipata at kanisani wanao anguka ni wanawake Sana mda mwingine mnajitakia mikosi

Mtu mwenye akili timamu ameeelewa Kuna demu mwengine ukidet nae tu wiki hupatiii pesa utatafuta mchawi uta muona



Hebu vuta pumzi mtoto wa kiume unajisikiaje mama yako angefanyiwa hayo au ungejisikiaje mkeo angefanyiwa hayo au dada zako au ndugu zako wa kike

Naimani Kama umelelewa familia zenye kheri na baraka na maadili ya dini uwezi fanya hayo na Kama umelelewa na mama tu utaelewa namaanusha nini ndomaana nawapenda mayatima wa kiume walio pata uyatima tangia mdogo au Alie lelewa na mama tu still anakua na uchungu na mwanamke

Hebu badilikeni muwe na huruma

Namaaanisha ambao sijawajibu pm wajitafakari tabia zao na wasini pm Tena

Waje wapya mie pia Nina haki ya kuishi na mtu mwenye utu daima na akili timamu

Bado jlsijapata mtu pm wazi sitaki majaribu

Mwanaume mwenye penzi la dhati ukuje
Penzi la dhati lipo ila hela za kuchezea ndio hakuna vipi tusogee?
 
Back
Top Bottom