Bado sijapata mume wa familia

Bado sijapata mume wa familia

Hamjambo wapendwa wa JF, habari za x-mas, mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 52. Nahitaji mwenza wa kuniliwaza na kunipa faraja. Naomba masihara na utani usiwepo.
 
Jamani waliotayari mumcheck huyu mama mapema maana 35 yrs menopause nayo haiko mbali sana msimcheleweshe buanaaa
 
naitaji mwanaume wa kuanzisha familia kama nilivosema miaka yangu ni 35 elimu chuo kikuu dini mkiristo .
mume nimtakae awe mtu mzima kama miaka 40 na kuendelea dini yoyote
mawasiliano nyotanjema2017@gmail.com kwa sasa nipo mkoani nitahamia dsm mwakani ni vizuri akawepo dsm
Ukiandika serious post utapata a serious man. Tulia, take a moment, chukua pen na karatasi jieleze vizuri then eleza mwanaume gani unaemtaka na vigezo vyake. Alafu shusha kigezo cha umri, iwe below 40.. Utampata.

Na mie nilipost hapa hapa Jamii forum a couple weeks ago and nikapata rafiki. Bahati nzuri anaishi mkoa ninaoishi mimi. So nimekwepa mambo ya long distance relationships ambayo kwa umri wangu wa 30yrs l feel will be a waste of precious time. He is a good man. Born again christian, 33yrs, Ambitious and hardworking. Ni Mtaratibu huyu kaka, and very handsome (as a bonus!!) . So far tumetembeleana, ameniintroduce kwa ndugu zake na marafiki zake, n akiongea kuhusu the future ananiinclude, which is encouraging. Im seeing the light at the end of the tunnel, after being hurt in the past. The lord has finally wiped my tears, I am praying urafiki wetu uendelee vizuri and 2017 iwe mwaka memorable kwetu.
 
vijana mnasumbua pia waongo bora watu wazima wenzangu
Hiyo dhan ya vijana wanasumbua umejijengea kichwan mwako au labda kwa kuwa ulikuwa na kijana akakusumbua ukahisi wote wako hivyo BUT believe me or not kuwa na umri mkubwa sio kukomaa kiakili na kifikra ila jitahidi kupata mtu aliye serious anayejielewa vinginevyo usawa huu watakuchezea sana kwa kuwa unaonyesha uhitaji sana wa ndoa
Cc: W. J. Malecela Le Akili Kubwaz
 
Kwani nini?
Kama haufanyi biashara usiweke humu kila mtu ana akili yake kuna watu wanaweza kuchukua no yako na wakenda kuiweka kwenye mitandao mengine ya mashoga au wanaotafuta kutiwa huko ukawa unapata usumbufu usio tarajiwa
 
Hamjambo wapendwa wa JF, habari za x-mas, mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 52. Nahitaji mwenza wa kuniliwaza na kunipa faraja. Naomba masihara na utani usiwepo.
anzisha uzi wako na ww
 
Hamjambo wapendwa wa JF, habari za x-mas, mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 52. Nahitaji mwenza wa kuniliwaza na kunipa faraja. Naomba masihara na utani usiwepo.
Nipo hapa mchumba, Npm fasta kwa mawasiliano zaid. nipo serious.
 
Kwa sisi vijana tunaotaka kuoa watu wazima kama wewe unatufikiriaje?

Sikuvui chupi hadi siku ya harusi ili kuonyesha jinsi ambavyo nimedhamiria.
 
Nina vigezo vyote ila uko tayari kuwa Mke wa pili ? Maana kama yupo mwenye miaka 40 na hana Mke bac ana kasoro nyingine upande wa pili
 
Back
Top Bottom