Bado sijapata mume wa familia

Bado sijapata mume wa familia

naitaji mwanaume wa kuanzisha familia kama nilivosema miaka yangu ni 35 elimu chuo kikuu dini mkiristo .
mume nimtakae awe mtu mzima kama miaka 40 na kuendelea dini yoyote
mawasiliano nyotanjema2017@gmail.com kwa sasa nipo mkoani nitahamia dsm mwakani ni vizuri akawepo dsm

Nina vigezo vyote
Tafadhali ni PM namba tuanzishe familia Mama!
 
wanawake wa humu bhana sina hamu nao kwa niliyokutana nayo!
 
Unataka mume mtarajiwa awe na miaka 40 or above! Are u serious?, hv kwa maisha ya kibongo umri huo si tayar mtu ana familia yake? Au unataka kuolewa uke wenza? Kuchagua sana ndio kunawafanya mabinti wengi kutoolewa na most of them baadae mnaishia kuwa shingle mother kwa kujifanya mnaweka vigezo vingi utadhan unafanya usaili wa kutafuta wafanyakazi wa kampuni yako
 
Unataka mume mtarajiwa awe na miaka 40 or above! Are u serious?, hv kwa maisha ya kibongo umri huo si tayar mtu ana familia yake? Au unataka kuolewa uke wenza? Kuchagua sana ndio kunawafanya mabinti wengi kutoolewa na most of them baadae mnaishia kuwa shingle mother kwa kujifanya mnaweka vigezo vingi utadhan unafanya usaili wa kutafuta wafanyakazi wa kampuni yako
vijana mnasumbua pia waongo bora watu wazima wenzangu
 
vijana mnasumbua pia waongo bora watu wazima wenzangu
Hiyo dhan ya vijana wanasumbua umejijengea kichwan mwako au labda kwa kuwa ulikuwa na kijana akakusumbua ukahisi wote wako hivyo BUT believe me or not kuwa na umri mkubwa sio kukomaa kiakili na kifikra ila jitahidi kupata mtu aliye serious anayejielewa vinginevyo usawa huu watakuchezea sana kwa kuwa unaonyesha uhitaji sana wa ndoa
 
Back
Top Bottom