Wakuu habari,
Kwa hali inayoendelea ya Kampeni za CCM ni dhahiri bado watanzania njaa inatusumbua sana, yaani jana watu wameacha shughuli zao wanaenda kawe kungaa macho kwa Kiongozi anayeshindwa kujinadi kama mwanasiasa badale yake anatoa hotuba ya kawaida kama tayari ameteuliwa na ndiye kiongozi.
Bado wengi tunahitaji ufumbuzi wa fikra na uelewa, tunadhamira potofu sana kuiamini CCM kwa sasa
tumeona, kusikia na kusoma kwenye vyombo vya habari masuala ya kikatili na utekaji wa wanaharakati lakini jana Mgombea hajaligusia hata kidogo ni kama haelewi kinachoendelea kwenye nchi yake, juzi tu mwili umeokotwa Jangwani
CHADEMA endeleeni na mapambano nchi hii inahitaji mabadiliko na ukombozi wa kifikra yawezekana wengi hatuelewi haki zetu
Kwa hali inayoendelea ya Kampeni za CCM ni dhahiri bado watanzania njaa inatusumbua sana, yaani jana watu wameacha shughuli zao wanaenda kawe kungaa macho kwa Kiongozi anayeshindwa kujinadi kama mwanasiasa badale yake anatoa hotuba ya kawaida kama tayari ameteuliwa na ndiye kiongozi.
Bado wengi tunahitaji ufumbuzi wa fikra na uelewa, tunadhamira potofu sana kuiamini CCM kwa sasa
tumeona, kusikia na kusoma kwenye vyombo vya habari masuala ya kikatili na utekaji wa wanaharakati lakini jana Mgombea hajaligusia hata kidogo ni kama haelewi kinachoendelea kwenye nchi yake, juzi tu mwili umeokotwa Jangwani
CHADEMA endeleeni na mapambano nchi hii inahitaji mabadiliko na ukombozi wa kifikra yawezekana wengi hatuelewi haki zetu