Bado nampenda msichana wa zamani

Bado nampenda msichana wa zamani

king zillar

Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
27
Reaction score
5
Habari wanajamvi.

Hii ni mara ya kwanza kuleta uzi humu mara nyingi hua msomaji tu thread za wenzangu.Nisiwachoshe wadungu by the way nilikua na mpenzi wangu ambaye tulipendana sana ikawa zaidi ya wapenzi.

Tuliishi pa1 sikuwahi kuwaza kua ipo siku tutatengana but baada ya kutengana kwa mda mrefu kidogo nilikuja kumfumania na mwanaume mwingne nikaamua kumpiga chini ingawa aliniomba sorry, now nina mpenzi mwngine ni mzuri kuliko hata yeye na mcha Mungu.

Tatizo bado nammiss huyu mpenzi wangu wa zamani hata yeye hunambia kua bado ananipenda na anakumbuka maisha tuloish nae ingawa now yuko na mwanaume niliyemfuma nae ofcause nahisi bado kumpenda.

Msaada plese.
 
Imenibidi nicheke kwanza, ndio mana kwanza kabla hujafanya maamuzi yakuwacha mwanamke hakikisha kua umeshamalizana nae kuanzia moyoni umalizie na machoni, huyo mdada kwa sasa yuko na mpenzi ulie mfumania nae
na still anakwambia anakupenda na weye unampenzi wako mwengine na nimzuri kuliko yeye na ni MCHA MUNGU .
Huoni kama hujui nini unataka? au kuna nini kilicho pungua kwa mcha mungu lakini kwa huyo ibilisi ulikua unakipata?
je mcha mungu hawezi kuachia kama yule mwengine? au huyo mwengine ana lipi la ziada?
 
ha ha ha ha kuweni friend with benefits ... ILA NASISITIZA 1800425_537770382987522_1005512948_n.png rr-studded.jpg theaccessgroup_2266_3679900.jpg OOOHOOOO ARV ZIPO FAKE
 
Kwa haraka naona cheni ya maambukizi kwa watu 4.
soln
boy friend wa zamani +girl friend mpya,+ girl friend wazamani + boyfriend mpya,
bf wazamani & gf wazamani +gf mpya & bf mpya=????????????.

nimejaribu kufanya simple calculation jibu atamalizia.
 
''Tatizo bado nammiss huyu mpenzi wangu wa zamani hata yeye hunambia kua bado ananipenda''

Sasa si muendelee na ufuska wenu...
 
Back
Top Bottom