Bado nampenda msichana wa zamani

Bado nampenda msichana wa zamani

Wala hutakumbuka hilo, nitatumia maneno matamuuuu kama anayokuimbia shemeji hadi unampa mshahara wako woteeeeeee, mwenyewe utaomba poo.
hakunaga maneno matamu ukishaanza kutamka maeneno yanayoendana na pesa hapo hadi masikio huziba automatic labda hasa upande wa kutumia zangu.. ila ukiongelea kutumia zako masikio yangu huwa sikivu mnoooo ujue jinsi Mungu wa ajabu
 
Mkienda huko chemba kushauriana iwe kwa hela au mkopo, naandama peke yangu toka chalinze hadi magogoni.
mshana jr anajua alichokifanya kwangu yeye na Asprin na Honey Faith
mshana jr jamani huyu mrembo umemfanyaje .. nilipe tu ya kunipotezea muda
 
Last edited by a moderator:
mshana jr jamani huyu mrembo umemfanyaje .. nilipe tu ya kunipotezea muda

Hahahahaaaa kanifananisha kabisa nakuapia mi sitaki bifu kabisa na kile kibabu nilichofanya mimi ni kumtahadharisha kuwa vibabu vinakuwa na tendency ya kuugua tezi dume
 
Last edited by a moderator:
Kwa haraka naona cheni ya maambukizi kwa watu 4.
soln
boy friend wa zamani +girl friend mpya,+ girl friend wazamani + boyfriend mpya,
bf wazamani & gf wazamani +gf mpya & bf mpya=????????????.

nimejaribu kufanya simple calculation jibu atamalizia.

Hivi unajua nakusubiria PM?
 
Back
Top Bottom