Kwa kuwa mimi niko humu tokea mwaka 2009 , nimejifunza na kuona vitu vingi kuhusu "e-dating" ..
Hilo halikunirudisha nyuma kufanya ninachotaka kufanya sasa..
Kwa namna moja au nyingine maisha yangu kwa siku hizi za karibuni yamenifanya nirudi nyuma kuhusu "e dating" ..
Mimi ni "average joe" kama tunavyoitwa humu.
Nina kakazi kangu kanako weza ku support ka familia kadogo,
lakini kakaazi kamenifanya niwe bize kidogo nishindwe ku connect na watu wengine vizuri,
Sasa nahitaji kuwa na uhusiano na "future wife" wangu..
naanza wapi, ?naanzaje?
Naamini ndani ya miaka 2 ijayo nitakuwa Mr.James.
sifa za future wife.
dini -Mkristo
Miaka -24-27
Elimu Fm 6 -phd
rangi ya ngozi -brown na mweupe
Urefu - ft 5.5 mpaka 5.9
Mimi ni mrefu wa ft6.0 ,mweusi
extra ..Mcheshi.
Awe .Mcha Mungu
.
.
.
Naamini mwakani mwishoni nitakuwa Mr.
Regards.
JAMES