Dah yaani umeuliza exacly kile nilichotaka kuuliza, tena kwa idadi ya nukta na maneno ile ile na style ile ile.Wewe ndo Kelvin Isaya?????????????????
Hivi tuhuma anazo rushiwa ni za kweli?Mtaalamu unataka kuja kivingine nini?
Si.za kweli zinarepotiwa visivyo,Hivi tuhuma anazo rushiwa ni za kweli?
Ndugu yangu wewe ndiye ulishindwa kurejesha USD 120! mpaka ukarejesha kwa mafungu!!!!!Ndiyo.memba huyo tulichenjiana lakin ni.mambo ya kibinadamu nimemalizana
https://www.jamiiforums.com/threads...i-sana-wana-jamii-forum-asante-kevin.1343810/
Hapo namba moja.mfano.kuna wanafunzi.wamechaguliwa IFM, LAkini hawajapata majina ya mkopo.chuo.kimesema wafungue na kufanya usajili.lazima.kulipa 1,050,000 fuatilia uoneIngawa una madeni ya kurudisha pesa kwa wateja wako ambao mizigo yao hujawapatia baada ya kukulipa
Una point kwenye hayo mengine haswa mambo ya kodi na hizo mashine ni kweli wangewapa watu nafasi ya kuzilipia kwa kiasi fulani kila mwezi.. na waangalie mtu abiashara ikifa kabla hajamaliza malipo basi aweze kuirudisha na mwingine apewe.. ( hizo mashine sijui t&c zake tho.. labda ingesaidia wengi kuelewa)
Namba moja ndio hiyo nafikiri umekosea kosea nafikiri ukitaka kueleweka kiundani ongezea nondo hapo..
Lingine kubwa sana sana serikali iweke info muhimu kwenye mitandao yao hizi ni zama za karne ya teknolojia.
Wewe ni tapeliNdiyo.memba huyo tulichenjiana lakin ni.mambo ya kibinadamu nimemalizana
https://www.jamiiforums.com/threads...i-sana-wana-jamii-forum-asante-kevin.1343810/
Kama siyo wewe basi ni sawa ila inatia ukakasi mtu kuanzisha nyuzi kama huu wa kwako wakati ukidaiwa USD 120 kwa miezi kumi na ukaanza kulipa kwa mafungu. What a shame!!! Kwa vile siyo wewe basi inatakiwa injinia Eng Mose afute kauli yake ref: https://www.jamiiforums.com/threads...i-sana-wana-jamii-forum-asante-kevin.1343810/Siyo.mimi
Mufuate uko.uko hapa.tunaongea.mambo.mengine.tusichanganye.madesa, haha.inaonekana.kuna.jambo.unalitaftaKama siyo wewe basi ni sawa ila inatia ukakasi mtu kuanzisha nyuzi kama huu wa kwako wakati ukidaiwa USD 120 kwa miezi kumi na ukaanza kulipa kwa mafungu. What a shame!!! Kwa vile siyo wewe basi inatakiwa injinia Eng Mose afute kauli yake ref: https://www.jamiiforums.com/threads...i-sana-wana-jamii-forum-asante-kevin.1343810/
Kwa mantiki hiyo badili signature yako. Aidha ukiwa mwongo jaribu kupunguza mdomo. Huwezi kuwaibia watu ukawajibu shombo. Ningekuwa wewe ningeacha hata kucomment hapa JF. Huna adabu unaaibisha tu angalia hata hii Kevin Isaya nilipe pesa zangu , kama vile bado ona hii Kelvin Isaya kwa utapeli uliofanyia watu lazima tukutafute baada ya hii Mjue Kelvin Isaya Tapeli wa Mitandaoni hivi wewe ni mtu wa namna gani huna haya au soni? CC Miss NatafutaMufuate uko.uko hapa.tunaongea.mambo.mengine.tusichanganye.madesa, haha.inaonekana.kuna.jambo.unalitafta
Mkuu, pamoja na sifa za huyu jamaa kuenea humu kuwa ni TAPELI mbobezi, bado tu na wewe unahitaji kujihusisha nae?Njoo PM....kuna deal ya hela fasta.