Bado kuna wazazi wanaendelea kuzaa hata baada ya mtoto wao wa kwanza kuolewa? Mtoto wa mwisho analingana na mjukuu wa kwanza? Huku ni kukosa maadili

Kuna dada alipishana na mke wa mwanaye mke wa mwanaye anaingia kujifungua naye anatoka haaa haaa alifunga na uzazi hapo hapo na alikuwa na watoto kama 10 hivi
Jamaaani, yani watoto wote hao alafu bado anajidhalilisha kwa waka mwana zake (in-laws)?
 
Katika akina mama 200 wanaozaa sambamba na watoto wao, utakutana na kesi moja tu ya namna hii. Hao wengine 199 ni kukosa tu staha na maadili
 
baba mdogo wa mwendokasi
 
NINA JAMAA YANGU BAADA YA BABA YAKE KUSUMBULIWA NA MARADHI NA VILE BABA YAKE ALIKUWA NA MTOTO MDOGO AKAAMUA KUCHUKUA MDOGO WAKE AKAE NAE.

CHANGAMOTO INAKUJA WATOTO WAKE WAKIMWITA JAMAA YANGU BABA NA MDOGO WAKE ANAMWITA BABA BADALA YA KAKA.
Wanamuita baba kwa sababu babu alikosea kuzaa uzeeni
 
Baba mdogo wa miaka miwili huyo ni mtoto wako wewe punguza ushamba
 
Utakua bored

Wapi wameweka limit ya watu kuwa na watoto?
 
Mmenikumbusha marehemu babu yangu mzaa mama.

Mimi kwenye familia ni mtoto wamwisho ila nina mama zangu wadogo wawili ambao wananiamkia. Na hapo mama yangu sio mtoto wakwanza kwao. Yani mjukuu wakwanza wa marehemu babu amewazidi umri wajomba zake na mama zake wadogo wengi sana.
 
Kuna members wengi wajinga sana humu eti wanataka kunipangia kipi cha kuandika kana kwamba wananilipa pesa
Hujapangiwa bosi wala hakuna malipo

Hoja Tu imekua kituko

Unataka kuwapangia wazazi wazae lini lakini hutaki feedback ukipost kwenye public forum

I respect you a lot kamanda.... Ila Leo aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…