Bado haitoshi?

Bado haitoshi?

Umuzukuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2019
Posts
624
Reaction score
561
Habari wakuu wa jf
Katika pita pita zangu huko na huku nimekutana na content fupi ikielezea kuhusu marketing hasa kwa upande wa wasanii Wanaojitafuta

Kuna vitu kwa uchache tu vimeeoezwa na miongoni mwa vitu hivyo ni CONNECTION

Sasa je hizo connection mtu unapata wapi na kwa sasa Kuna hii issue ya cycle yaani watu kujitenga kutokana aidha status ya kiuchumi

Watu haohao ndio wenye connection na kuingia kwenye cycle kama hizo sio jambo rahisi kabisa maana utaachwa tu ns speed ya aina ya maisha utakayoyakuta hapo🤔🤔
ndio kusema juhudi tu hazitoshi... Sasa tunafanyaje


View: https://youtu.be/VK7hmI2f0nM?si=llacND976UlR3kLR
 
Tangu dunia kuumbwa hadi Leo juhudi pekee hazitoshi hakikisha sio tu unawajua watu Bali nao wanakujua ila kuwa makini wengine wamejikuta kwenye nyakati mbaya sana kwa kutaka favour.
 
Tangu dunia kuumbwa hadi Leo juhudi pekee hazitoshi hakikisha sio tu unawajua watu Bali nao wanakujua ila kuwa makini wengine wamejikuta kwenye nyakati mbaya sana kwa kutaka favour.
BINAFSI siamini katika favour,lugha ya biashara ndio yenyewe kwamba ili mwisho wa siku kila Mmjoa Lazima ale
 
Back
Top Bottom