Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Kaazi kweli kweli...
Huyo hana lolote nae anakuzimia lakini ana mambo ya kitoto na inaonekana hujajua hili bado..
Cha kufanya mwache na fanya mambo yako bila kinyongo nae,onesha una furaha na usimtafute subiri mpaka yeye aanze kukutafuta...
Atakurudia tu na akifanya hivyo jiangalie kama bado wakati huo utakuwa unamhitaji,kama utakuwa unamhitaji mwambie wazi kuwa unahitaji msimamo na akikuelewa endeleeni kula raha ya dunia
Asipokurudia shukuru Mungu endelea na maisha yako...
Ukiwa unafanya zoezi hili utapata upinzani wa hisia,usirudi nyuma na usizisikilize hisia zako maana hutakufa kwa kukosa raha kwa muda,hii ndio njia ya kukua,endelea tu na utaweza....
Kila la kheri...
Huyo hana lolote nae anakuzimia lakini ana mambo ya kitoto na inaonekana hujajua hili bado..
Cha kufanya mwache na fanya mambo yako bila kinyongo nae,onesha una furaha na usimtafute subiri mpaka yeye aanze kukutafuta...
Atakurudia tu na akifanya hivyo jiangalie kama bado wakati huo utakuwa unamhitaji,kama utakuwa unamhitaji mwambie wazi kuwa unahitaji msimamo na akikuelewa endeleeni kula raha ya dunia
Asipokurudia shukuru Mungu endelea na maisha yako...
Ukiwa unafanya zoezi hili utapata upinzani wa hisia,usirudi nyuma na usizisikilize hisia zako maana hutakufa kwa kukosa raha kwa muda,hii ndio njia ya kukua,endelea tu na utaweza....
Kila la kheri...