Bado amri mbili tu kutolewa

Bado amri mbili tu kutolewa

Tangu Rais Magufuli aanze kutoa matamko yamekua ni mengi na inaonekana hataki utani wala kuchezewa.

Kama alivyojipambanua kwenye hotuba zake za hivi karibuni, sasa katika mtiririko wa matamko na ilani zake amebakisha amri mbili tu.

Amri ya kwanza ni wananchi wavamie kila fisadi wanaemjua amepata pesa kwa njia zisizo halali na mali wajichukulie vyao,maana inaonekana rais ana hasira sana na hao watu.

Amri ya pili ni wananchi kutembea mwisho saa kumi na mbili kila mmoja awe nyumbani kwake.

Nchi inavyokwenda tunatakiwa kuomba Mungu sababu watu wamewasha moto halafu mmoja ameshika jinga la moto kuelekea kwenye mapipa ya petroli na hakuna wa kumzuia kasi ni kubwa!

Mungu ibariki Tanzania inapita kwenye majaribu makubwa.
Hawezi kufikia hata 0%.
 
Mimi huyu mkulu kanichosha hata mwaka hajamaliza...napenda atawale awamu hii tu...mana imekuwa awamu ya taarabu tu
 
Tangu Rais Magufuli aanze kutoa matamko yamekua ni mengi na inaonekana hataki utani wala kuchezewa.

Kama alivyojipambanua kwenye hotuba zake za hivi karibuni, sasa katika mtiririko wa matamko na ilani zake amebakisha amri mbili tu.

Amri ya kwanza ni wananchi wavamie kila fisadi wanaemjua amepata pesa kwa njia zisizo halali na mali wajichukulie vyao,maana inaonekana rais ana hasira sana na hao watu.

Amri ya pili ni wananchi kutembea mwisho saa kumi na mbili kila mmoja awe nyumbani kwake.

Nchi inavyokwenda tunatakiwa kuomba Mungu sababu watu wamewasha moto halafu mmoja ameshika jinga la moto kuelekea kwenye mapipa ya petroli na hakuna wa kumzuia kasi ni kubwa!

Mungu ibariki Tanzania inapita kwenye majaribu makubwa.
Akili ni nywele na ww una kipara sasa tutakuelewaje? Mbona kama unapiga vijembe indirectly? Umepanik eh
 
Akili ni nywele na ww una kipara sasa tutakuelewaje? Mbona kama unapiga vijembe indirectly? Umepanik eh
Sasa nipanik kwa nini mkuu,vijembe nimempiga nani sasa na mimi sijamtaja mtu!
 
Tangu Rais Magufuli aanze kutoa matamko yamekua ni mengi na inaonekana hataki utani wala kuchezewa.

Kama alivyojipambanua kwenye hotuba zake za hivi karibuni, sasa katika mtiririko wa matamko na ilani zake amebakisha amri mbili tu.

Amri ya kwanza ni wananchi wavamie kila fisadi wanaemjua amepata pesa kwa njia zisizo halali na mali wajichukulie vyao,maana inaonekana rais ana hasira sana na hao watu.

Amri ya pili ni wananchi kutembea mwisho saa kumi na mbili kila mmoja awe nyumbani kwake.

Nchi inavyokwenda tunatakiwa kuomba Mungu sababu watu wamewasha moto halafu mmoja ameshika jinga la moto kuelekea kwenye mapipa ya petroli na hakuna wa kumzuia kasi ni kubwa!

Mungu ibariki Tanzania inapita kwenye majaribu makubwa.
Dunia imewaona wengi sana watu wa aina hiyo na ndio maana siku hizi wanaheshimiana! wala tusifadhaike atagundua anakoelekea siko kwani watu wanao hudhuria mikutano yake wanapungua kwa kasi kubwa. Bado kidogo atawanunua wa kwenda kumsikiliza.sitaki tena kusikiliza hotuba zake wale kumuona live!
 
Mwarobaini wa nchi hii ni Katiba mpya tu tena ya wananchi siyo ya watawala
 
Tangu Rais Magufuli aanze kutoa matamko yamekua ni mengi na inaonekana hataki utani wala kuchezewa.

Kama alivyojipambanua kwenye hotuba zake za hivi karibuni, sasa katika mtiririko wa matamko na ilani zake amebakisha amri mbili tu.

Amri ya kwanza ni wananchi wavamie kila fisadi wanaemjua amepata pesa kwa njia zisizo halali na mali wajichukulie vyao,maana inaonekana rais ana hasira sana na hao watu.

Amri ya pili ni wananchi kutembea mwisho saa kumi na mbili kila mmoja awe nyumbani kwake.

Nchi inavyokwenda tunatakiwa kuomba Mungu sababu watu wamewasha moto halafu mmoja ameshika jinga la moto kuelekea kwenye mapipa ya petroli na hakuna wa kumzuia kasi ni kubwa!

Mungu ibariki Tanzania inapita kwenye majaribu makubwa.
Kibaya zaidi hakuna anayeonekana kumkosoa mkulu na kumweleza kuwa nchi hii ni ya kidemokrasia zaidi ya Wapinzani! Hivi walioko CCM wamejaa uoga, unafiki au nini hasa??
 
Kumuomba Mungu tu bila kumwambia ukweli muhusika, ni sawa na kumruhusu aendelee kuvunja sheria na kukanyaga katiba
Waswahili walishasema "The more you cut salamander's tail the more it grows "Kama ni mimba basi hii ya kinyonga.zimebakia stages chache sana za kujifungua na ndipo chadefisi kitakapofia. Hivi watu watasema mara ngapi kwamba Nchi hii ilikuwa imefikia pabaya? Sasa reformation processes must be extremely bitter to some of you guys. Mlikuwa na holiday season awamu ya nne. Tulieni mnyolewe na mfanyiwe scrubbing hizo chunusi zenu mlizozihifadhi kwa kuzungurusha mikono. Matumaini tuliyoyataka ndio haya ambapo bado kitambo kidogo tu watu maskini na waishio vijijini wataanza kufaidi keki ya taifa kwa kupata masoko yauhakika wa mazao yao. Ni Tanzania tu ambapo harakati za kisiasa huwa hazikomi baada ya uchaguzi. Sasa nchi itaendelea vipi iwapo leo Rais akitoka ziara ya Singida kesho wanaingia UKUTA kwa kushambulia au kumkosoa Rais? Subirini angalau 2019 Ndo muanze harakati. Hata baba yenu mamvi kawakatalia hii maneno. Hamjui tu kwamba mvuto haupo tena ktk jamii. Hayo matamko Hayana tija kwa hiki kipindi kifupi cha mpito. Watanzania hata hawawaelewi kabisa. Chukueni ushauri wa MZEE mrudishe majeshi majimboni.
 
Mwenyewe anadhani watanzania ni wapuuzi kwamba wataendelea kuvumilia tu haya anayoyafanya na kuyasema kumbe watu wanamvutia pumzi tu. Patakuwa hapatoshi hapa.
 
Mwenyewe anadhani watanzania ni wapuuzi kwamba wataendelea kuvumilia tu haya anayoyafanya na kuyasema kumbe watu wanamvutia pumzi tu. Patakuwa hapatoshi hapa.
Hapo kwenye mvutano busara isipotumika,mlipuko wake unatisha!
 
Hapo kwenye mvutano busara isipotumika,mlipuko wake unatisha!
Amri nyingine akatayo ileta,ni kuingilia matumizi ya raia.....watu watakuja ulizwa wapi umetoa fedha....Naona tunarudi miaka Íle ya kifimbo
 
Amri nyingine akatayo ileta,ni kuingilia matumizi ya raia.....watu watakuja ulizwa wapi umetoa fedha....Naona tunarudi miaka Íle ya kifimbo
sema miaka hii watu hawatotupa mafuko ya fedha!
 
Kinacho nishangaza mpaka sasa bado kuna watu hawajaona wehu wa huyu mtu wa kambi ya upinzani. Kweli watu hawaoni vituko vinavyofanyika mpaka sasa? Dodoma watu wanaondolewa kwenye nyumba zao ili kupisha wizara kuingia, mbaya zaidi hata walio chini yake hawajajua kama wameishapotea.

Wizara ya Elimu walikuwa wameisha jianda kuondoka mwanzoni mwa mwezi8, mkuu wa mkoa kahairisha hadi tar14, hii inaonyesha hakuna maandalizi yoyote, watu wanakurupuka kabisa. Nazani huyo kiongozi wao wa upande wa pili akili zake sio sawa, baada ya miaka2 watu watagundua kumbe kiongozi wa kambi ya upinzani ni kichaa, walikuwa wanaitikia matamko ya kichaa.

Watanzania tushituke, haiwezekani mtu mmoja afanye maamuzi kwa ajili ya nchi nzima, tunataka kiongozi afuate katiba na kuheshimu bunge, kiongozi wa kambi ya upinzani yeye sio Mungu.

Hakuna mtu mwenye haki miliki na hii nchi, maamuzi yake ya hovyo yanalighalimu taifa sasa, bado watu hawashituki. Hii ni miezi8 baada ya uchaguzi hali ndio hii, jee tukifikisha miaka2 hali itakuaje?
Nimejiona genius kwa kukuelewa mkuu,asante
 
Back
Top Bottom