Hapana MUNGU ni mweza wa yoteKumuomba Mungu tu bila kumwambia ukweli muhusika, ni sawa na kumruhusu aendelee kuvunja sheria na kukanyaga katiba
Hata chama tawala kinafahamu umuhimu wa vyama pinzani. Kuna vitu vichache tu vya kurekebisha ila changamoto wanazotoa zinadaidia kujipanga vizuriItakua vizuri kwa sababu vyama vingine havina tija katika maendeleo ya nchi hii
Tangu Rais Magufuli aanze kutoa matamko yamekua ni mengi na inaonekana hataki utani wala kuchezewa.
Kama alivyojipambanua kwenye hotuba zake za hivi karibuni, sasa katika mtiririko wa matamko na ilani zake amebakisha amri mbili tu.
Amri ya kwanza ni wananchi wavamie kila fisadi wanaemjua amepata pesa kwa njia zisizo halali na mali wajichukulie vyao,maana inaonekana rais ana hasira sana na hao watu.
Amri ya pili ni wananchi kutembea mwisho saa kumi na mbili kila mmoja awe nyumbani kwake.
Nchi inavyokwenda tunatakiwa kuomba Mungu sababu watu wamewasha moto halafu mmoja ameshika jinga la moto kuelekea kwenye mapipa ya petroli na hakuna wa kumzuia kasi ni kubwa!
Mungu ibariki Tanzania inapita kwenye majaribu makubwa.
Dicteta Namba moja nchi hii ni Mbowe.Umesahau amri nyingine, kuanzia sasa vyama vyote vya siasa vimepigwa marufuku itabaki ccm tu, atakaye nijaribu atakiona cha mtemakuni
Mafsadi yapo jela.Kwani chadema kuna fisadi?
wapi imetajwa chadema au nina makengezaKwani chadema kuna fisadi?
Mkuu naomba usipanic twende kiutaratibu nchi kweli inanyooshwa na katika lakini sio kwa Tanzania ilipofikia.Tuna miaka mi ngapi tangu hyo katibu kuundwa? Tujiulize ni Lini ilinyoosha nchi? Tuache ushabiki
Utadumu hakuna baya nililo post!huzi huu ukidumu mpaka kesho utakuwa na bahati sana, mana JF siku hizi imekuwa mtihani sana
Sio kila anaeleta mada ana mrengo wa chama fulani!Tatizo nyie wa CDM watu wote mnawaona hawana akili tatizo mlizoea mtelemko na kuishi kwa ujanjaujanja mnataka siasa za kuishi kwenye media kwa matukio,majizi yote mnayoyatete na kubwa lao mnatembea nalo lazima yashughulikiwe mmekuwa chama cha kuishi na kutetea mafisadi kwa nguvu zote yangu mumfukuze babu Dr SLAA.na mlaaniwe!
duuh sasa hiyo itakuwa kazi!Umesahau nyingine atasema kila mmoja abaki katika mkoa alikozaliwa, sasa sijui na yeye ikulu yake atapeleka Chato?