Kumbe tupo wengi.Ni nzuri sn hii,nilijikuta nimezoeana kidogo na nyumba jirani aisee kilichonikuta nimekoma.This time sitaki mazoea hata na sisimiziHii tabia ninayo pia,, Home-Kazini-Home,,..Najitahidi kujenga ukaribu na watu ninaoishi nao hapa ila nimeshindwa zaidi ya wauza maduka.Sinaga hata namba za majirani zangu.
Aisee badilika sasa 😂dah sinywi pombe,wala sigara wala kilevi cha aina yoyote ila last month niliamua niangalie kipi kinachomaliza hela zangu
Niliishia tu kucheka mwenyewe baada ya kugundua kuwa misos misos imechukua 70% ya matumizi yangu nkaenda kujiridhisha baada ya kufungua fridge nkaishia tu kucheka kwa vitu nilivyovijaza kwenye fridge
We ni shetwain kabisa kabisayeah, nna picha kadhaa za Irene Uwoya, na Wema ( zile za zamani akiwa bado thick 🥰)
na baadhi ya porns za Nollywood
hapana hakuna jini linalokula manii zangu, maana nna beat off rag mahsusi kabisa, na naifua kila baada ya miezi sita
We ni mnyaki?Tabia ambayo nitakuwa nayo hadi uzeeni hadi kifo ni UMBEYA hii kuacha siwezi ila ya kuamini watu nimeanza kuacha
Mnyaki 🤷?We ni mnyaki?
Nimeuliza baada ya wewe kuwaka kuwa huwezi acha umbeya, haya niambie sasa wewe ni mnyaki?Mnyaki 🤷?
Tuambie kilichokukutaKumbe tupo wengi.Ni nzuri sn hii,nilijikuta nimezoeana kidogo na nyumba jirani aisee kilichonikuta nimekoma.This time sitaki mazoea hata na sisimizi
Nisha achaga asee jamani toka 2014Aisee Kaka hili Ni tatizo. Tangu 2009 Hadi leo nasema nitaacha lakini baada ya siku tatu najikuta kwenye mtego ule ule
AminaAmen. Lazima niache nyeto katika jina la Yesu![]()
True manWashkaji wengi sikuizi wachawi tu, hawana issue man... Kazi kuchunguzana na kuchafuliana sifa (u snitch) afu mbaya ukija kufanikiwa au ukiwa na mafanikio wanageukaga kuwa ma chawa na kujipendekeza sana...
kama nimeshindwa hivi.Nakaziakama ulikua pampula aka cha pombe acha kabisa mwaka 2023 utakuja kunishukuru sana baadaye