Badilisha Tabia Moja 2023

Badilisha Tabia Moja 2023

ni control ili iweje ? sperms zinazalishwa daily ili ziwe released nje, nizibanie ndani ili iweje ? sitaki
Kwa nini upige nyeto wakati kuna wadada wengi tu unaweza kuoa umpendae mfurahie tendo la ndoa.
 
Pombe na fegi nimedhamiria kwa kweli,sijanywa tangu mkesha wa xmass nahis ntafanikiwa fegi ndio tabu kidogo nikikaa sku 2 ya 3 navuta
 
tabia ninayotaka kuacha ni kuwa mbali na time management yani sifanyi mambo kwa mipangilio
 
Tabia ya kutokubembeleza wanawake ***** huu mwaka naiacha aisee nitajifia mgane, Hakuna tuzo ya usingle na UWABATA ni upuuzi sitaki tena kuishi kwa kupitia sheria zao tena.
 
Tunaelekea 2023 hivyo ni vyema kuachana na zile za 2022.

Jichunguze kisha uwe na uamuzi sahihi.

Ni tabia gani mbaya unayohitaji kuachana nayo mwaka wa 2023 - ugomvi, kulalamika, kuahirisha, kuvuta sigara, kucheza vilabu vya usiku, ponografia, ngono ya kawaida, uraibu wa mitandao ya kijamii, kununua bila mpangilio n.k.?

Jiulize pia;
Je! ni tabia gani nzuri unayohitaji kuikuza mwaka wa 2023
- kudhibiti hasira, shukrani, kula vizuri, kufanya mazoezi mara kwa mara, kusoma kila siku, kusali kila siku nyumbani , kwenda ktk nyumba za ibada , kumaliza kazi za kila siku n.k.?

Mabadiliko ni mengi , lakini hakuna kinachoumiza kama kukwama mahali ambapo hapafai . Mabadiliko hayatakuja ikiwa tunangojea mtu mwingine au wakati mwingine. Wewe ndiye umekuwa ukingoja.

Mambo hayabadiliki, tunabadilika. Ikiwa hatubadiliki, hatutakua. Mabadiliko sio bahati mbaya kamwe. Mabadiliko si rahisi. Mambo yote ni magumu kabla hayajawa rahisi. Ikiwa hakuna mapambano, hakuna maendeleo.

Badilisha Tabia Amini unaweza kubadilika. Kisha chukua hatua za mtoto leo(anza kukua) . Fanya kazi na mshirika wa uwajibikaji. Mwamini Mungu akupe nguvu za Mungu katika safari hii.
Mm nataka kubak na dem
Mmoja tu
 
Back
Top Bottom