dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,594
- 60,808
siachi nyeto, me and nyeto till death do us partAcha nyeto, hizo manii unazomwaga hovyo utadaiwa
siachi nyeto, me and nyeto till death do us partAcha nyeto, hizo manii unazomwaga hovyo utadaiwa
🤣🤣🤣Tabia ya kutokubembeleza wanawake ***** huu mwaka naiacha aisee nitajifia mgane, Hakuna tuzo ya usingle na UWABATA ni upuuzi sitaki tena kuishi kwa kupitia sheria zao tena.
Acha nyeto mkuusiachi nyeto, me and nyeto till death do us part
siachiAcha nyeto mkuu
Nitafunga na kuomba kwa ajili yako ili uache kuzini na majinisiachi

.funga na kuomba kwa ajili yangu nisiache nyetoNitafunga na kuomba kwa ajili yako ili uache kuzini na majini
funga na kuomba kwa ajili yangu nisiache nyeto
Nafunga ili ukombolewe kaka, unezungukwa na majini yakisubiri umwage manii kisha yalambe, huo ni utumwa, lazima ukombolewefunga na kuomba kwa ajili yangu nisiache nyeto
hapana hakuna jini linalokula manii zangu, maana nna beat off rag mahsusi kabisa, na naifua kila baada ya miezi sitaNafunga ili ukombolewe kaka, unezungukwa na majini yakisubiri umwage manii kisha yalambe, huo ni utumwa, lazima ukombolewe
Kuna tabia moja hiyo!! Siipendi kabisa kuwa nayo, ninamuomba Mungu na nitaishinda na kuiacha kabisa 🤝 💪Tunaelekea 2023 hivyo ni vyema kuachana na zile za 2022.
Jichunguze kisha uwe na uamuzi sahihi.
Ni tabia gani mbaya unayohitaji kuachana nayo mwaka wa 2023 - ugomvi, kulalamika, kuahirisha, kuvuta sigara, kucheza vilabu vya usiku, ponografia, ngono ya kawaida, uraibu wa mitandao ya kijamii, kununua bila mpangilio n.k.?
Jiulize pia;
Je! ni tabia gani nzuri unayohitaji kuikuza mwaka wa 2023
- kudhibiti hasira, shukrani, kula vizuri, kufanya mazoezi mara kwa mara, kusoma kila siku, kusali kila siku nyumbani , kwenda ktk nyumba za ibada , kumaliza kazi za kila siku n.k.?
Mabadiliko ni mengi , lakini hakuna kinachoumiza kama kukwama mahali ambapo hapafai . Mabadiliko hayatakuja ikiwa tunangojea mtu mwingine au wakati mwingine. Wewe ndiye umekuwa ukingoja.
Mambo hayabadiliki, tunabadilika. Ikiwa hatubadiliki, hatutakua. Mabadiliko sio bahati mbaya kamwe. Mabadiliko si rahisi. Mambo yote ni magumu kabla hayajawa rahisi. Ikiwa hakuna mapambano, hakuna maendeleo.
Badilisha Tabia Amini unaweza kubadilika. Kisha chukua hatua za mtoto leo(anza kukua) . Fanya kazi na mshirika wa uwajibikaji. Mwamini Mungu akupe nguvu za Mungu katika safari hii.
Ashindwe na kulegeaShindwa pepoooo
Nakuombea ushindiKuna tabia moja hiyo!! Siipendi kabisa kuwa nayo, ninamuomba Mungu na nitaishinda na kuiacha kabisa 🤝 💪
dah sinywi pombe,wala sigara wala kilevi cha aina yoyote ila last month niliamua niangalie kipi kinachomaliza hela zanguTunaelekea 2023 hivyo ni vyema kuachana na zile za 2022.
Jichunguze kisha uwe na uamuzi sahihi.
Ni tabia gani mbaya unayohitaji kuachana nayo mwaka wa 2023 - ugomvi, kulalamika, kuahirisha, kuvuta sigara, kucheza vilabu vya usiku, ponografia, ngono ya kawaida, uraibu wa mitandao ya kijamii, kununua bila mpangilio n.k.?
Jiulize pia;
Je! ni tabia gani nzuri unayohitaji kuikuza mwaka wa 2023
- kudhibiti hasira, shukrani, kula vizuri, kufanya mazoezi mara kwa mara, kusoma kila siku, kusali kila siku nyumbani , kwenda ktk nyumba za ibada , kumaliza kazi za kila siku n.k.?
Mabadiliko ni mengi , lakini hakuna kinachoumiza kama kukwama mahali ambapo hapafai . Mabadiliko hayatakuja ikiwa tunangojea mtu mwingine au wakati mwingine. Wewe ndiye umekuwa ukingoja.
Mambo hayabadiliki, tunabadilika. Ikiwa hatubadiliki, hatutakua. Mabadiliko sio bahati mbaya kamwe. Mabadiliko si rahisi. Mambo yote ni magumu kabla hayajawa rahisi. Ikiwa hakuna mapambano, hakuna maendeleo.
Badilisha Tabia Amini unaweza kubadilika. Kisha chukua hatua za mtoto leo(anza kukua) . Fanya kazi na mshirika wa uwajibikaji. Mwamini Mungu akupe nguvu za Mungu katika safari hii.
mie mwaka wa 5 hawahi kuingia hata kitoto cha jiraniTabia ya kutokuwa na marafiki yaani mara nyingi nakuwa mwenyewe hata majirani hawajui naitwa nani na sina mazoea na mtu hata mmoja sometimes nataka kupiga stori naona watanizoea mfano ni miezi saba sasa hakuna mtu yeyote amewahi ingia kwangu
Hii tabia ninayo pia,, Home-Kazini-Home,,..Najitahidi kujenga ukaribu na watu ninaoishi nao hapa ila nimeshindwa zaidi ya wauza maduka.Sinaga hata namba za majirani zangu.mie mwaka wa 5 hawahi kuingia hata kitoto cha jirani
Yes,nimeanza mwaka jana hii kitu...ni kweli watu negative wanajitenga na mimi...sipendi watu wenye mitazamo hasi.Marafiki hauwakatai ila wale wabovu wanapungua wenyewe ukiwa na lifestyle ambayo iko positive. Wataonq kuwa wewe sio mwenzao tena.
Ukisema kuwa hautaki marafiki naona sio sahihi maana kila mtu anamuhitaji mtu wa kumshika mkono mahala.
Duu mkuu umeona hawana maana kabisa ilhal umetokea huko hukoili iweje ?