Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Mbona chizi hapa anaonekana wazi wazi kuwa ni wewe 😀😀tushatimia wanne Comi Evelyn Salt howardlite na MO11
sasa katika ule utafiti mmoja atakua tu chizi kwa hiyo ni nani ??
Mbona chizi hapa anaonekana wazi wazi kuwa ni wewe 😀😀tushatimia wanne Comi Evelyn Salt howardlite na MO11
sasa katika ule utafiti mmoja atakua tu chizi kwa hiyo ni nani ??
aya ya kwanza sababu najijua nko kundi gani..najijua mi ni nani so nimeongea ukweli"Kuna wengine hatupo hivyo"
hapa ulijitoa kwenye kundi la wa waliotajwa hapo juu
ukaendelea "tena ni wife material"
hapa ukajisifia
shida iko hapa but wanaume hawajielewi
licha ya kwamba huna tabia za hovyo hovyo ni wife material lakini hujaolewa
Nilikuwepo
Anaeongelewa ndo chizi mwenyeweSamahani sijaelewa kidogo chizi ni nani kati ya mtoa mada na mpewa mada
Hii post imekuja wakati sahihi..Jaman tubadilike,nani amekwambia wanaume tunataka kuoa wanawake wa aina hii?
Mdada kupost picha tuuuu mchana usiku mara kavaa gauni hili mara wigi lile mara sketi na t-shirt.
Hivi hakuna kitu kizuri cha kupost zaidi ya mapicha picha kwenye fb na whatsapp.
Social media ni network ya maendeleo pia jaman sio kivile kama mnavyoitumia.
A real gentleman will never ever marry a woman who used to post non sense pictures through social media.
Ukipita fb huyu dada yupo ukienda whatsapp yupo twoo yupo,sio mbaya kama kuna la maana unafanya lakini mipicha tuuuu unatuambia jinsi ulivyo
If you need marriage be on the correct position,maintain the status of being a wife you will wonder this secret.
Na wavulana wengine wana tabia ya aina hii,hawa utawaita wanaume kweli?
Unafikiri dada zetu wanapenda labda wanao fanana na wewe?
utulieeeaya ya kwanza sababu najijua nko kundi gani..najijua mi ni nani so nimeongea ukweli
kujisifia dhambi?
nlitaka kuonyesha sio upande wa wanaume tu ndo wana malalamiko hayo.hata sisi wanawake pia
ila MO sipendi uchochezi wako.kila ntapocomment unanichokonoa..sipendi ujue
sijaolewa sababu sijapata anaejielewa
Wanaume wapo wanaojielewa na wapo wasiojielewa."Kuna wengine hatupo hivyo"
hapa ulijitoa kwenye kundi la wa waliotajwa hapo juu
ukaendelea "tena ni wife material"
hapa ukajisifia
shida iko hapa but wanaume hawajielewi
licha ya kwamba huna tabia za hovyo hovyo ni wife material lakini hujaolewa
Nilikuwepo
duh unaona sasa wife material mnafunga usjal wanabak hao wabinua makaliousajili umefungwa kwa mda usiojulikana maybe baada ya mwaka mmoja utafunguliwa![]()
![]()
![]()
sawa kakangu.ntafuata mausia yakoutulieee
napima uvumilivu wako mi mwenye sijaoa sio kwamba wanawake hamna ila nachagua anaejielewa
Wamegundua wanaume wanapenda makalio,wakiombwa wanakuja kulalamikani maisha waliyoyachagua.. kubinua makalio mtandaoni............
Wanauza makalio ukiona hivyo ujue anatumikakupiga kalio likaonekana kabla ya sura
ha ha haWamegundua wanaume wanapenda makalio,wakiombwa wanakuja kulalamika
Khaaaa!naona umetumia huu uzi kama platform ya kuelezea shida zako
Pamoja saltAnaeongelewa ndo chizi mwenyewe
Kuumbe sikuwa najua. Asante kwa taarifaWanauza makalio ukiona hivyo ujue anatumika
samahani hivi wanaume au neno baadhi limekosekana kwenye maandishi yakoWamegundua wanaume wanapenda makalio,wakiombwa wanakuja kulalamika
Samahani mkuu,naongeza neno baadhi ya wanaume.samahani hivi wanaume au neno baadhi limekosekana kwenye maandishi yako