Badilikeni wadada

Badilikeni wadada

"Kuna wengine hatupo hivyo"
hapa ulijitoa kwenye kundi la wa waliotajwa hapo juu

ukaendelea "tena ni wife material"
hapa ukajisifia

shida iko hapa but wanaume hawajielewi

licha ya kwamba huna tabia za hovyo hovyo ni wife material lakini hujaolewa

Nilikuwepo
aya ya kwanza sababu najijua nko kundi gani..najijua mi ni nani so nimeongea ukweli

kujisifia dhambi?

nlitaka kuonyesha sio upande wa wanaume tu ndo wana malalamiko hayo.hata sisi wanawake pia

ila MO sipendi uchochezi wako.kila ntapocomment unanichokonoa..sipendi ujue
sijaolewa sababu sijapata anaejielewa
 
Jaman tubadilike,nani amekwambia wanaume tunataka kuoa wanawake wa aina hii?
Mdada kupost picha tuuuu mchana usiku mara kavaa gauni hili mara wigi lile mara sketi na t-shirt.

Hivi hakuna kitu kizuri cha kupost zaidi ya mapicha picha kwenye fb na whatsapp.
Social media ni network ya maendeleo pia jaman sio kivile kama mnavyoitumia.
A real gentleman will never ever marry a woman who used to post non sense pictures through social media.

Ukipita fb huyu dada yupo ukienda whatsapp yupo twoo yupo,sio mbaya kama kuna la maana unafanya lakini mipicha tuuuu unatuambia jinsi ulivyo
If you need marriage be on the correct position,maintain the status of being a wife you will wonder this secret.

Na wavulana wengine wana tabia ya aina hii,hawa utawaita wanaume kweli?
Unafikiri dada zetu wanapenda labda wanao fanana na wewe?
Hii post imekuja wakati sahihi..
Wengi wamekuwa waiomba kupata mume mwema... lakin ukiwaona wanavyo jianika social media.. hawafai hata kuitwa gf mwema.
Jirekebisheni kwanza tabia zenu wadada.. ndipo Mungu atamleta huyo mume uane mtarajia.
 
aya ya kwanza sababu najijua nko kundi gani..najijua mi ni nani so nimeongea ukweli

kujisifia dhambi?

nlitaka kuonyesha sio upande wa wanaume tu ndo wana malalamiko hayo.hata sisi wanawake pia

ila MO sipendi uchochezi wako.kila ntapocomment unanichokonoa..sipendi ujue
sijaolewa sababu sijapata anaejielewa
utulieee

napima uvumilivu wako mi mwenye sijaoa sio kwamba wanawake hamna ila nachagua anaejielewa
 
"Kuna wengine hatupo hivyo"
hapa ulijitoa kwenye kundi la wa waliotajwa hapo juu

ukaendelea "tena ni wife material"
hapa ukajisifia

shida iko hapa but wanaume hawajielewi

licha ya kwamba huna tabia za hovyo hovyo ni wife material lakini hujaolewa

Nilikuwepo
Wanaume wapo wanaojielewa na wapo wasiojielewa.

Wanaojielewa tupo.. sana tu..
Na utaona tabia za tofauti... na wengine ambao ni vichwa moto
 
wasipofanya hivyo watapendwaje bhanaaa ,wengine ndo lifestyle yao but pia wapo ambao wanajistiri ndo wanapiga pichaa, shida ni wale ambao wanavaa ovyo hadi shombo kuwaangalia ndo unasemea haoo

shida kwa wakaka tuu hapo ndo doubt inakuja
 
Wanafikiri ni sifa kupiga mipicha mapaja wazi , matiti wazi tena hawaachi kuonyesha mbinuko wa nyuma. Hatuoi wauza sura , mtaishia kumegwa tu !
 
Back
Top Bottom