Back Into History, Mwl.Nyerere Visit in China.

dikteta mkubwa, alifuta vyama vingi, alitaka fikra za Mwenyekiti wa chama peke yake ndio zidumu, alifunga raia kutumia sheria inaitwa preventive detention act, alianzisha kufungia wasomi waliom question kijijini kwao, akajenga taifa la watu waoga.

Msikilize hapa anajuta na kuomba msamaha kwa kujenga taifa la watu cowards, watu waliotishwa, watu waoga...

Sijaona hayo unayoyasema kwenye hiyo video,
But what I know is Hata kiongozi awe mzuri vipi lazima kuna watu watampinga, Imagine US assassinated great Leaders like Abraham Linkolin, na Hata Rais Kennedy. Sembuse Mwalimu ??
Besides, A coin has two sides always, kama huwezi kuona mema hata kwa kiongozi kama Huyu ukajikuta unatafutiza mabaya yake, basi you are the only coward.
 
Back in the days he used to wear western suits, but walivyomuua tu kennedy, hakwenda tena marekani wala hakuvaa tena western suits, akaanza kuvaa zile suits za kichina.
US wametoka mbali sana na Hiyo Democracy ambayo sisi tunaamini we can practice, the cost is to high for sure, viongozi kuwa assassinated ilikuwa ni kama jambo la Kawaida kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Ila haisaidii walalahoi wa LDC Tanzagiza.
Yes, we are the only United Nation in Africa
Other leaders promoted tribalism, and disunity,
Grabbed land and resources to their families and allies and sold massive lands to their western masters,
They miserably failed even to unite their tribes.
What a useless leader.
 
Kama sio Nyerere Kenya haingekuwa kiongozi hapa EA na pia Tz haingekuwa Tanzagiza in such away tungekuwa tunawakejeli
Yes, we are the only United Nation in Africa
Other leaders promoted tribalism, and disunity,
Grabbed land and resources to their families and allies and sold massive lands to their western masters,
They miserably failed even to unite their tribes.
What a useless leader.

That is where you are headed to bro hamuwezi mkaruka that stage upende usipende. Naona mpo divided politically kwa vyama na tunapowaambia mko nyuma yetu miaka kama ishirini mnatokwa povu. You guys will lag behind economically and socially in Africa yani Watu watasoma Tanzania in History as a Country that helped others but failed to help their own.
 
Kama sio Nyerere Kenya haingekuwa kiongozi hapa EA na pia Tz haingekuwa Tanzagiza in such away tungekuwa tunawakejeli

That is where you are headed to bro hamuwezi mkaruka that stage upende usipende. Naona mpo divided politically kwa vyama na tunapowaambia mko nyuma yetu miaka kama ishirini mnatokwa povu. You guys will lag behind economically and socially in Africa yani Watu watasoma Tanzania in History as a Country that helped others but failed to help their own.
Hata yesu aliambia hivyohivyo AMEOKOA WENGINE AWEZI KUJIOKOA MWENYEWE !!?? Lakini leo anaitwa JIWE WALILO LIKATAA WAHASHI LIMEKUWA JIWE KUU LA PEMBENI .Mkenya akiliangukia atavunjika Vunjika na likimwangukia mkenya litamsaga kabisa
 
But what I know is Hata kiongozi awe mzuri vipi lazima kuna watu watampinga, Imagine US assassinated great Leaders like Abraham Linkolin, na Hata Rais Kennedy. Sembuse Mwalimu ??

Na hata awe mbaya kiasi gani kuna watu watamkubali, Donald Trump is case in point.

Nyerere ndio ametufikisha hapa tulipo, Taifa la watu wajinga wasiojua ku question mauza uza ya viongozi, wanatukuza kiongozi kama Mtume!

Eti ningetaka ningekuwa dikteta bila kuvunja Katiba. Sasa mbona hukuibadilisha kama wewe ni father of the nation? Mbona uliandika katiba ya kidikteta? Unashindwa mpaka na Kikwete aliyejaribu ku re-write Katiba?
 
Na hata awe mbaya kiasi gani kuna watu watamkubali, Donald Trump is case in point.

Nyerere ndio ametufikisha hapa tulipo, Taifa la watu wajinga wasiojua ku question mauza uza ya viongozi, wanatukuza kiongozi kama Mtume!

Eti ningetaka ningekuwa dikteta bila kuvunja Katiba. Sasa mbona hukuibadilisha kama wewe ni father of the nation? Mbona uliandika katiba ya kidikteta? Unashindwa mpaka na Kikwete aliyejaribu ku re-write Katiba?
Nakusahisha kidogo, Taifa hili sio la watu wajinga, mjinga ni wewe.
Nyerere did the best, Kama viwanda mlianzishiwa, Elimu na Hata Huduma za Afya kwa wakati ule,
Na pia Kitu ambacho you may not notice is the strong Unity,
Hapo ulipo unawezaenda Kokote Tz ukanunua Ardhi, ukaoa au ukaolewa na ukajenga,
Sio jambo rahisi,
Now we have that Unity and we are prospering, transforming into Middle economy Country,

Is that not enough?
 
Na hata awe mbaya kiasi gani kuna watu watamkubali, Donald Trump is case in point.

Nyerere ndio ametufikisha hapa tulipo, Taifa la watu wajinga wasiojua ku question mauza uza ya viongozi, wanatukuza kiongozi kama Mtume!

Eti ningetaka ningekuwa dikteta bila kuvunja Katiba. Sasa mbona hukuibadilisha kama wewe ni father of the nation? Mbona uliandika katiba ya kidikteta? Unashindwa mpaka na Kikwete aliyejaribu ku re-write Katiba?
Hivi unajua maana ya ujinga!! Angalia takwimu za ujinga kipindi cha Nyerere utashangaa sana, au ulitaka Nyerere aongoze kwa miaka 5 then atoke awape upinzani ndiyo ungemsifia!!
Alicho fanya Nyerere kwa asilimia kubwa alikuwa sahihi kwa kipindi kile. Angalia majirani na maraisi wote wa kwanza wa nchi mbali mbali za Africa linganisha na Nyerere utaona utofauti mkubwa. Kama binadamu alikua na mapungufu, ila ni mtu ambae tutamuenzi siku zote kwa kutengeneza umoja wa kitaifa, kutupa uhuru bila kumwaga damu, kukomboa bara la Africa, kutengeneza misingi ya rasilimali kufaidiwa na wananchi, kuto jilimbikizia mali yeye na watu wake (kabila lake), kuachia madaraka bila kusukumwa na mtu e.t.c.

Nyerere alikua na uwezo kuamua kizanaki kiwe lugha ya taifa, kukaa madarakani mpaka mwisho wa uhai wake au kumrithisha mwanae, kumiliki ardhi kubwa zaidi ya mtanzania yoyote na upuuzi wote bila pingamizi la kumtisha.

Some say Nyerere was a PROPHET, kanisa lime anzisha mchakato awe SAINT. To me he is THE FATHER OF AFRICA.
 
Nakusahisha kidogo, Taifa hili sio la watu wajinga, mjinga ni wewe.
Nyerere did the best, Kama viwanda mlianzishiwa, Elimu na Hata Huduma za Afya kwa wakati ule,
Na pia Kitu ambacho you may not notice is the strong Unity,
Hapo ulipo unawezaenda Kokote Tz ukanunua Ardhi, ukaoa au ukaolewa na ukajenga,
Sio jambo rahisi,
Now we have that Unity and we are prospering, transforming into Middle economy Country,

Is that not enough?

Unaweza kwenda popote ukanunua ardhi?

Zanzibar naweza kwenda kununua ardhi?
 
Hivi unajua maana ya ujinga!! Angalia takwimu za ujinga kipindi cha Nyerere utashangaa sana, au ulitaka Nyerere aongoze kwa miaka 5 then atoke awape upinzani ndiyo ungemsifia!!
Alicho fanya Nyerere kwa asilimia kubwa alikuwa sahihi kwa kipindi kile. Angalia majirani na maraisi wote wa kwanza wa nchi mbali mbali za Africa linganisha na Nyerere utaona utofauti mkubwa. Kama binadamu alikua na mapungufu, ila ni mtu ambae tutamuenzi siku zote kwa kutengeneza umoja wa kitaifa, kutupa uhuru bila kumwaga damu, kukomboa bara la Africa, kutengeneza misingi ya rasilimali kufaidiwa na wananchi, kuto jilimbikizia mali yeye na watu wake (kabila lake), kuachia madaraka bila kusukumwa na mtu e.t.c.

Nyerere alikua na uwezo kuamua kizanaki kiwe lugha ya taifa, kukaa madarakani mpaka mwisho wa uhai wake au kumrithisha mwanae, kumiliki ardhi kubwa zaidi ya mtanzania yoyote na upuuzi wote bila pingamizi la kumtisha.

Some say Nyerere was a PROPHET, kanisa lime anzisha mchakato awe SAINT. To me he is THE FATHER OF AFRICA.

Yes, najua maana ya ujinga. Wewe umekaririshwa definition moja tu ya ujinga, kutojua kusoma na kuandika.

Ujinga pia ni kufunga akili zako kujilinganisha na "majirani na maraisi wote wa kwanza wa nchi mbali mbali za Africa " na kujiona wewe uko poa. Kwa nini unajilinganisha na Afrika tu? Kwanza unajilinganisha na Afrika gani, Msumbiji na Malawi au Afrika ni pamoja na Egypt, Algeria, Morrocco, na South Afrika?

Ni ujinga uliotopea kumuangalia jirani yako mwenye kuku wawili ukasema wewe uko njema kwa sababu wewe una mbuzi watano, ilhali wote mko kwenye lindi la umaskini. Nyerere yeye anapimwa kwa mizani ya ki-Afrika tu? Mimi ni mwanafunzi wa maendeleo, uongozi, historia, siasa, uchumi wa dunia nzima, sio hapa Afrika tu!

Kwa nini Nyerere apimwe kwa prism ya Afrika tu, kwani sisi Waafrika ni nusu watu, ni punguani wenye viwango na vigezo vya chini? Ndio ujinga wenyewe huo, kuangalia ndani tu, Afrika. Ndio maana ni yeye peke yake alikuwa anaruhusiwa kumiliki antenna na satellite dish nchi nzima ili tubaki wajinga atutawale milele.
 
dikteta mkubwa, alifuta vyama vingi, alitaka fikra za Mwenyekiti wa chama peke yake ndio zidumu, alifunga raia kutumia sheria inaitwa preventive detention act, alianzisha kufungia wasomi waliom question kijijini kwao, akajenga taifa la watu waoga.

Msikilize hapa anajuta na kuomba msamaha kwa kujenga taifa la watu cowards, watu waliotishwa, watu waoga...

Si bora hata Mwalimu alikuwa na guts za kuomba msamaha wangapi wanaweza fanya hivi ?
 
Back in the days he used to wear western suits, but walivyomuua tu kennedy, hakwenda tena marekani wala hakuvaa tena western suits, akaanza kuvaa zile suits za kichina.
Unamanisha nini hakwenda tena Marekani ? Hakwenda akiwa Head of state au ? Nakumbuka wakati Mkapa anaanza kuuza Mashirika yetu NBC ikiwemo mzee Nyerere alipata Mualiko wa IMF au WB kama sikosei na alienda Marekani
 
kuachia madaraka bila kusukumwa na mtu e.t.c.

Mtu amekalia madaraka miaka 27 bado unampa sifa ya kujitoa. Nyerere ameua democratic sense and spirit of the nation, kwenye ballot paper kuna picha ya Nyerere au ya Jembe na Nyundo! Ufanyeje, uchague nyundo? Father of the Nation eti vitu hivi havijui , the most basic of democratic values alikuwa havijui. Baba wa Taifa!
 
Hapo ulipo unawezaenda Kokote Tz ukanunua Ardhi, ukaoa au ukaolewa na ukajenga,
Sio jambo rahisi,

Ubora wa Nyerere ni kutuwezesha "kwenda popote kuoa, kuolewa, kununua ardhi na kujenga."

The most ignoramus comment in all of history.

Ni wapi duniani ambapo hawaruhusu raia kuoa, kuolewa, kununua ardhi na kujenga anapotaka?

Hatuoni mbali, hatuna exposure ya dunia, hatujui what is and what is not possible duniani hapa, kwa hiyo tunasifia Nyerere kwa vitu vidogo vidogo vidogoooooo, vya kijinga kupita maelezo.
 
Ubora wa Nyerere ni kutuwezesha "kwenda popote kuoa, kuolewa, kununua ardhi na kujenga."

The most ignoramus comment in all of history.

Ni wapi duniani ambapo hawaruhusu raia kuoa, kuolewa, kununua ardhi na kujenga anapotaka?

Hatuoni mbali, hatuna exposure ya dunia, hatujui what is and what is not possible duniani hapa, kwa hiyo tunasifia Nyerere kwa vitu vidogo vidogo vidogoooooo, vya kijinga kupita maelezo.
Good to know You have cognitive impairment, Huna uwezo hata wa kushawishi watu wawili kwenye familia yako hapa unajitutumua kukosoa uwezo wa great minds, the worldwide appreciated Iconic leaders of the history, hata kwa hii comment hapo juu umedhihirisha mapungufu yako kwenye ubongo na vile huna staha, we've been arguing with a brainless small minded dumb, You can't even comprehend some common things,
Bye!
 
Hata yesu aliambia hivyohivyo AMEOKOA WENGINE AWEZI KUJIOKOA MWENYEWE !!?? Lakini leo anaitwa JIWE WALILO LIKATAA WAHASHI LIMEKUWA JIWE KUU LA PEMBENI .Mkenya akiliangukia atavunjika Vunjika na likimwangukia mkenya litamsaga kabisa
Tunamshukuru sana Nyerere kwa kuwafanya LDC...I can't imagine being in your position ya Kuisoma namba ya mwingine. Tungekuwa LDC kama nyinyi tungekuwa kila siku tuko hapo Tanzanian News and politics tukiweka taarifa za maendeleo yetu finyu hapo kwa inferiority complex lakini Allahmulilahi hatuko kwenye that position due to our superior nature economically and socially. Niko very confident and sure that Sisi Wakenya hatutawahi soma namba ya wengine ukanda huu mbali wengine ikiwemo Tanzania watazidi Kuisoma namba yetu.
Huu ndio ukweli hata use mchungu kwenu, Mimi kila siku nikiingia hapa Kenyan News na kuwapata hapa inakuwa ni hakikisho kuu ya kuwa tunawaongoza bila shaka...ukiwaona nzi(Tanzania) wengi mahali pamoja jua kuna uwepo wa tena kwa wingi wa matumbo/nyama/mavi/chakula(Kenya)
 
Tunamshukuru sana Nyerere kwa kuwafanya nyie muwe na chakula cha kutosha ...I can't imagine huku kenya 50 years after independence hatuna chakula na mbaya zaidi tupo top 5 kwenye nchi zenye njaa duniani 1.Yemen 2.Haiti 3.central Africa 4.Kenya 5.Somalia. Niko very confident and sure that Sisi Wakenya siku zote tunasoma namba za wengine ukanda huu.
Huu ndio ukweli hata uwe mchungu kwetu, Mimi kila siku nikiingia hapa jf najionea huruma na wakenya wenzangu kwa njaa tuliyonayo inatisha.
 
Yes, najua maana ya ujinga. Wewe umekaririshwa definition moja tu ya ujinga, kutojua kusoma na kuandika.

Ujinga pia ni kufunga akili zako kujilinganisha na "majirani na maraisi wote wa kwanza wa nchi mbali mbali za Africa " na kujiona wewe uko poa. Kwa nini unajilinganisha na Afrika tu? Kwanza unajilinganisha na Afrika gani, Msumbiji na Malawi au Afrika ni pamoja na Egypt, Algeria, Morrocco, na South Afrika?

Ni ujinga uliotopea kumuangalia jirani yako mwenye kuku wawili ukasema wewe uko njema kwa sababu wewe una mbuzi watano, ilhali wote mko kwenye lindi la umaskini. Nyerere yeye anapimwa kwa mizani ya ki-Afrika tu? Mimi ni mwanafunzi wa maendeleo, uongozi, historia, siasa, uchumi wa dunia nzima, sio hapa Afrika tu!

Kwa nini Nyerere apimwe kwa prism ya Afrika tu, kwani sisi Waafrika ni nusu watu, ni punguani wenye viwango na vigezo vya chini? Ndio ujinga wenyewe huo, kuangalia ndani tu, Afrika. Ndio maana ni yeye peke yake alikuwa anaruhusiwa kumiliki antenna na satellite dish nchi nzima ili tubaki wajinga atutawale milele.
Tunge endelea kumjadili Nyerere mpaka page ya 200 ila mistari yako mitano ya mwisho imenikata stimu. Kwa heshima naomba tuishie hapa. Siku njema
 
the worldwide appreciated Iconic leaders of the history

“the worldwide the appreciated iconic leaders of the history”

Okay! What a mouthful.

But many of the Nyerere scholars in the worldwide they think that the Nyerere was a halfway dictator.

The Nyerere is far from being among the iconic the leaders of the worldwide in the history!

And to say that the Nyerere was not a thief that is not a praise, or that he did not take all the land. HE WAS NOT SUPPOSED TO BE A THIEF!

Huwezi kumsifu mtu kwamba ni icon kwa vile eti yeye hakuwa mwizi, hatukumtegemea aibe!

Na duniani kwingine huko hawatumii kigezo hicho cha kutokuwa mwizi kupima viongozi wao, as such the Nyerere can not be the worldwide the iconic leaders of the history.
 
Back
Top Bottom