Kwahiyo tumeanza kupangiana cha ku-post siku hizi!?Hii thread inahusina Aje Na Kenya.
Ipelekwe Kwa watanzania
Huu ni Upuuzi na utoto ila kama ndivyo mnataka hatuwezi wazuia.Kwahiyo tumeanza kupangiana cha ku-post siku hizi!?
Na infact Hamna la kufanya,Huu ni Upuuzi na utoto ila kama ndivyo mnataka hatuwezi wazuia.
sifa zote sawa,vlkn sio unyenyekevu.A reason I miss Mwalimu Nyerere, siku anafariki I was a little Boy hata sikuelewa Kitu,
Apumzike kwa Amani Baba wa Taifa La Tanzania, Mwanaharakati, Mzalendo wa Kweli, Mkweli, Mnyenyekevu, Mcheshi na Mwenyewe Hekima na uelewa mpana.
Ila haisaidii walalahoi wa LDC Tanzagiza.Na infact Hamna la kufanya,
But my Intention was to help you realize the Greatness of our African Leaders we had in our History, Especially JK Nyerere..
I guess hata hukuwahi fikiria kama Nyerere was this much Respected even in US and UK?
Umetazama hizo Gearide Uingereza na Uchina?
Take it positive.
Zamani Viongozi wetu walikuwa waluable kule nchi za wenzetu hata nikiangalia ziara ya Mwalimu 1975 kule London ni tofauti na viongozi wa leo katika mapokezi
Na infact Hamna la kufanya,
But my Intention was to help you realize the Greatness of our African Leaders we had in our History, Especially JK Nyerere..
I guess hata hukuwahi fikiria kama Nyerere was this much Respected even in US and UK?
Umetazama hizo Gearide Uingereza na Uchina?
Take it positive.
A reason I miss Mwalimu Nyerere, siku anafariki I was a little Boy hata sikuelewa Kitu,
Apumzike kwa Amani Baba wa Taifa La Tanzania, Mwanaharakati, Mzalendo wa Kweli, Mkweli, Mnyenyekevu, Mcheshi na Mwenyewe Hekima na uelewa mpana.
Back in the days he used to wear western suits, but walivyomuua tu kennedy, hakwenda tena marekani wala hakuvaa tena western suits, akaanza kuvaa zile suits za kichina.A visit to US, he was a very close friend of JF Kennedy