Bachelor party

Bachelor party

gwahe

Senior Member
Joined
Nov 24, 2014
Posts
147
Reaction score
84
Wana MMU,

Jana nilikutana na rafiki yangu baada ya kupotezana muda mrefu.Aliniambia kuhusu bachelor party zinavyofanyika siku hizi. Ukweli macho yalinitoka. Labda mimi bado nipo nyuma ya informtions au na wengine humu bado wapo nyuma ya taarifa hizi pia na kama wapo wanaofahamu leteni stori zaidi.

Story ni hivi:
Mwanaume anafanyiwa bachelor party ya hali ya juu. Waandaaji wanaamini baada ya Party mwanaume hata thubutu tena kuwa na hamu ya kuchepuka au kwenda nje ya ndoa na kutafuta nyumba ndogo. Na wote walioandaliwa Bachlor party ya aina hiyo ndoa zao zimedumu.

Party inaandaliwa kama ifuatavyo:

1) Inatafutwa nyumba nzuri yenye usalama.

2)Watu wanachanga Pesa na mfadhili mkuu ni mhusika ambaye ni bwana harusi mtarajiwa na marafiki zake.

3)Wanatafutwa wasichana wazuri, wengine wakiwemo wazungu ,wasomari na warabu bila kusahau dada zetu warembo wa kitanzania. Hawa wasichana wengi wao ni dada poa wanaojiuza kwa bei ya juu kuanzia shs 300,000 kwa siku.

4)Waandaaji huandaa usafiri,bites, vinywaji vya non stop na muziki mzuri.

5)Siku ya siku, warembo wote na wageni waalikwa huwasili na simu zote na cameras huwekwa chumba maalumu. Ni marufuku kuchukua picha na kuwa na mawasiliano ndani ya Sherehe hiyo.

6)Sherehe inapoanza, mtarajiwa huwekwa mbele kwenye sofa nzuri maalumu. Wadada warembo wanavua nguo zao zote na kubakiza vibikini tu. Kumbuka sifa za warembo zinazingatia vigezo vyote kwa mwanamke kuitwa mrembo.

7)Hapo ndo bachelor party huanza, mtarajiwa huwa na uhuru wa kumvua na kufanya chochote ktk hao warembo ambao idadi yao huwa kati ya 15-20.

Ngoja niishie hapo ila waandaaji wa bachelor party wanaamini, baada ya hiyo sherehe ya kumuaga mwezao. Wanaamini mlegwa atakuwa mwamininifu ndani ya ndoa,kwa sababu papuchi za nje ataziona za kawaida kabisa maana papuchi alizochezea na kuzishika na uzoefu wa kupapasiwa siku ya bachelor party zitkuwa zimempatia uzoefu mkubwa na ukumbusho wa kuwaona warembo kama nature to balance the marriage .
 
Kwa hiyo wanaochepuka ni kwamba huwa hawajaona papuchi nyingi? Mtu anaweza kuwa na msururu wa watu 70 na bado akachepuka nini 20 bwana....
tWiw_iQPsfJfXFtp5kYLiJ45N46t1T6CDfYThH2qyDV9xML1jVp7yQ==.gif
 
Hiyo party sidhani kama inatatua tatizo la kuchepuka,kwa hiyo wazee wa zamani walifanyiwa hiyo kitu?HAKUNA UHALISIA.
 
Huyo wanampotezea appetite ya papuchi kwa mkewe si kacheza nazo nyingi,hiyo bachelor part zinaside effect kwa muoaji.
 
Bachelor party ni aina moja wapo ya ufuska na uchafu wa viwango vya juu!Utamaduni wa kimagharibi mwingine,kama kuchepuka hapo ndo atahamasika zaidi na zaidi!
 
Bachelor party ni aina moja wapo ya ufuska na uchafu wa viwango vya juu!Utamaduni wa kimagharibi mwingine,kama kuchepuka hapo ndo atahamasika zaidi na zaidi!

Nimeuza nyumba ya urithi Obey.. twende wote huko bachera pati
 
mmmh..hatari kweli..pamoja na usr bachelor wangu sijawahi ona...ila hii kitu ipo nchi za magharibi Zaidi..kwenye movie ya wedding ringer ndo nliona hii kitu
 
Kwa hiyo wanaochepuka ni kwamba huwa hawajaona papuchi nyingi? Mtu anaweza kuwa na msururu wa watu 70 na bado akachepuka nini 20 bwana....
Yaani unakuta mtu kapiga ya mweupe, mweusi , maji ya kunde, tall, andunje, kibito, jimama, kigori,mwarabu, mpemba, mmakonde, mganda, mkenya etc lakini bado hazija mkinani tu ....yaani bila kuchepuka na chimbo jipya hajawa kamili.

Ningependa kushiriki wapi location.
mkuu mleta mada , kuna mkuu kirumonjeta hapa anasaka chimbo liliko akapooze machungu.

Hiyo party sidhani kama inatatua tatizo la kuchepuka,kwa hiyo wazee wa zamani walifanyiwa hiyo kitu?HAKUNA UHALISIA.
uko sawa mkuu @waballa kwani hata mimi naona sio suruhu ya kuzuia michepuko kwani unaishia kuziona na kuzichezea tu.... bila kuzisugua kisawa sawa. yaani hiyo ni sawa na kumfaidi demu mkaree kwa chabo ya kwenye kitobo cha fungu au bafu la jirani huku wewe ukibaki kujipiga mwenyewe nyundo zisizo na idadi.

Itabidi muandaliwe part sasa vibr dinda wote...uwe singo uwe dabo lazma ukaparty lol
Je, mtaishi kutupatia party tu au tutaishia "kupatika " wote ili gano litimie?

Bachelor party ni aina moja wapo ya ufuska na uchafu wa viwango vya juu!Utamaduni wa kimagharibi mwingine,kama kuchepuka hapo ndo atahamasika zaidi na zaidi!
kweli kabisa mkuu coz akifika ndani ya nyumba kisha akute mkewe hana papuchi kama alizo ziona ndipo hapo atapo pata mzuka wa kwenda kuzisaka kunako machimboni ili kukidhi kiu si unajua mambo ya tii kiu yako na taste thetrill ?
 
Last edited by a moderator:
Ntakutoa knock out!ntataka watufungie wawili tuu

Hapa naanza kunywa supu ya pweza mapema kabisa.. Nishampigia mmasai wangu aniletee Mkuyati kutoka Longido.. Hii mechi staki mwamuzi nitaimaliza mwenyewe haha
 
Akili ya binadamu ni zaidi ya uifikiriavyo. Hapo siyo kusaidia bali ni kumuongezea mawazo ya kukumbuka kilichotokea na kutamani kukifanya tena na tena kila siku mpaka atakapo kinai. Atachepuka tu.
 
kawaida sana hizo.... watu wanatoa stress na wengne wanakuja na pete zao za ndoa!!!! mikocheni block naniliu
 
Back
Top Bottom