Gonzalo Miguel
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 837
- 622
Habari za saizi WanaJF
Baada ya matokeo ya kidato cha sita kutoka,Nina dogo alichukua HKL na kwa balaka za Mungu katunukiwa Div 1.9 yani
History-D
Kiswahili-B
English-C
Gs-E
Asa kwa ufaulu huo anatak kuchukua kozi ya ualim
Sasa mkanganyiko umetokea achukue BA.ED au B.ED
Kwa ushauri wenu WanaJF wajuvi ni programme ipi nzuri na inanumafaa kwake
Ikiwezekana na ushauri wa chuo kizuri kusomea moja ya programme
MSAADA WENU TAFADHARI
Baada ya matokeo ya kidato cha sita kutoka,Nina dogo alichukua HKL na kwa balaka za Mungu katunukiwa Div 1.9 yani
History-D
Kiswahili-B
English-C
Gs-E
Asa kwa ufaulu huo anatak kuchukua kozi ya ualim
Sasa mkanganyiko umetokea achukue BA.ED au B.ED
Kwa ushauri wenu WanaJF wajuvi ni programme ipi nzuri na inanumafaa kwake
Ikiwezekana na ushauri wa chuo kizuri kusomea moja ya programme
MSAADA WENU TAFADHARI