Kozi zipo nyingi nzuri sana kwa hkl ..soma tcu guidebook usikariri maisha¿Mkuu asomee kozi ipi nzuri mbali na ualim kwa HKL?
regional planning ??? acha kudhalilisha fani za watu ,yani regional planning ukaikute kwenye educationTofaut n kwambaa koz kama bed utaspecialize only kwenye ualim lakn baed unaweza kuwaa hata afsa misitu nje ya ualim hasa wale wanaopgaa geography ina koz had za regionall planning ect
Regional development planningregional planning ??? acha kudhalilisha fani za watu ,yani regional planning ukaikute kwenye education
Unakataa nn watu tumepga had GIS and remote sensing. Natural resources management, disaster management ndan ya BAED kwa wale wa geography lkn.. Toa mihooo ijooo!!regional planning ??? acha kudhalilisha fani za watu ,yani regional planning ukaikute kwenye education
Hujui kitu halafu unajifanya unashauri. Tuwachora tuMkuu soma BAED ndani yake utasoma koz nying than BED alafu jiandae vyuo vya PRIVATE hapo kwa ufaulu huo szan government
Una uhakika?Akisomea BeD hawezi badili tena ila akisoma Bachelor ya Art with Ed anaweza endelea na kitu kingine ila all in all elimu ya Tanzania haidetermine kwamba utakuja kuwa nani!
Geography kwani haina regional planning au umekariri huko ulikosoma?regional planning ??? acha kudhalilisha fani za watu ,yani regional planning ukaikute kwenye education