Ninapoenda kusoma bachelor of arts with education nijikite kwenye masomo gani???

miss confidence

JF-Expert Member
Jul 9, 2016
393
273
Rejea kichwa cha habari hapo juu ...nimebahatika kuwa miongoni mwa walio pata vyuo awamu ya kwanza..naamini nimechaguliwa BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION kwasababu ndiyo niliyo apply...

Nilikua ninaomba ushauri kwenu wakubwa wangu mliotangulia kielimu...katika hiyo faculty niliyochagua nikajikite kwenye masomo gani ambayo yapo vizuri hata kama mama ndalichako asiponihitaji katika sector yake hapa nchini ntaweza kujiendeleza kwenye mambo mengine na bado nikafanikisha maisha...

Nimesoma HKL

NB: Sitaki matusi wala kebehi...ushauri basi inatosha
Ninaomba kuwasilisha wakuu
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu ...nimebahatika kua miongoni mwa walio pata vyuo awamu ya kwanza..naamini nimechaguliwa BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION kwasababu ndiyo niliyo apply...nilikua ninaomba ushauri kwenu wakubwa wangu mliotangulia kielimu...katika hiyo faculty niliyochagua nikajikite kwenye masomo gani ambayo yapo vizuri hata kama mama ndalichako asiponihitaji katika sector yake hapa nchini ntaweza kujiendeleza kwenye mambo mengine na bado nikafanikisha maisha...nimesoma HKL
NB: Sitaki matusi wala kebehi...ushauri basi inatosha
Ninaomba kuwasilisha wakuu

Kama umeshindwa tu kujua umuhimu wa neno " NEWS ALERT " ambalo umelitumia ndivyo sivyo katika UZI wako sidhani kama unastahili kwenda University na nina uhakika hata ukienda UTAFELI mno hivyo ningeshauri tu tafuta kitu kingine cha kufanya. Tunakushukuru pia kwa kuweza kutuonyesha kiwango chako cha mwisho cha uelewa. Nyie ndiyo mtakaompa tabu Mama yetu Waziri wa Elimu Professor Ndalichako.
 
Rudi ukasome upya thread ndio ujue kuropoka ropoka ovyo ..wewe unafikiri kila anayesoma education anahitaji ajira serikalini....hovyooo
Mnakuaga na mbwembwe nyingi ila mkishamaliza tu kusoma mnaanza kuilaumu serikali kwa nini haiwapi ajira? Muwe mnaweka akiba ya maneno tena mpo wengi sana wenye tabia kama yako ya kujifanya mnasoma Ualimu kwa ajili ya knowledge tu ila sio ajira serikalini baadae mnalia.
 
Kama umeshindwa tu kujua umuhimu wa neno " NEWS ALERT " ambalo umelitumia ndivyo sivyo katika UZI wako sidhani kama unastahili kwenda University na nina uhakika hata ukienda UTAFELI mno hivyo ningeshauri tu tafuta kitu kingine cha kufanya. Tunakushukuru pia kwa kuweza kutuonyesha kiwango chako cha mwisho cha uelewa. Nyie ndiyo mtakaompa tabu Mama yetu Waziri wa Elimu Professor Ndalichako.
Shukrani mkuu kwa kunioneshea kiwango kikubwa cha ukilaza wako...hizo ni chuki binafsi tuu na wivu umekujaa hafeli mtu hapa ...ishia kufeli wewe...lione ovyooooo
1473825825117.jpg
 
Ujatuambia umechaguliwa chuo gani maaana hizi kozi ni moja ila content ya masomo katika hiyo kozi huwa tofauti Kuna mdau kakushauri ukasome kiswahili and linguistics


Sawa ila baadhi ya vyuo wanasema linguistics lakini siyo pure linguistics inakuwa ni language maana mwanafunzi anasoma kama advance tu language one na language two sasa ukisema hiyo ni linguistics napata ukakasi

Pia katika kiswahili Kuna baadhi ya vyuo wanasoma kiswahili kama advance tu na wao kama kiswahili moja na kiswahili mbili hawanitambui nadharia mbali mbali za watalamu mbali mbali walipoona kuhusu lugha ya kiswahili

Kwaiyo taja chuo ulichochaguliwa ili tuweze kakushauri vizuri ila kwakua umesoma HKL hauna budi kusoma Lugha yani kiswahili na linguistics usijichanganye ukasoma history kiswahili itakuja kubana kitaluma badae vile vile hata katika soko la ajira itakuja kusumbua
 
Back
Top Bottom