Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,044
- 1,999
<br />nimechaguliwa baaf muccobs vipi hapo?
<br />
wat is baaf,me najua BAF 2?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />nimechaguliwa baaf muccobs vipi hapo?
<br />Nakubali vilaza wa BAF wapo, maana nakumbuka kuna jamaa mmoja alimaliza akapata kazi lakini aliishia kufukuzwa kila alipoenda kufanya kazi mpaka akamua kwenda huko wanakoandika madokezo na vocha tu (serikalini). Uzuri wa BAF ni kuwa wanafundishwa uhasibu uliojaa how? why? what? etc, wakati hao Bcom wao wanfundishwa vitu vichache kiasi kwamba shule ya Mzumbe inakua ngumu kidogo na inajikita kwenye uhasibu wote kwa 100% na hata kama ukienda kusoma nje basi unapeta tu maana vingi ni marudio.
Nakubali vilaza wa BAF wapo, maana nakumbuka kuna jamaa mmoja alimaliza akapata kazi lakini aliishia kufukuzwa kila alipoenda kufanya kazi mpaka akamua kwenda huko wanakoandika madokezo na vocha tu (serikalini). Uzuri wa BAF ni kuwa wanafundishwa uhasibu uliojaa how? why? what? etc, wakati hao Bcom wao wanfundishwa vitu vichache kiasi kwamba shule ya Mzumbe inakua ngumu kidogo na inajikita kwenye uhasibu wote kwa 100% na hata kama ukienda kusoma nje basi unapeta tu maana vingi ni marudio.
<br />tupe uelewa wako mkuu kuhusu hili inaonekana una facts zenye msaada mkubwa
<b>Senetor</b>; <i>me naamini <font color="#b22222">bcom-accountng anajua mambo mengi kuliko huyo mwana BAF</font></i><font color="#b22222">.<br />
<br />
</font><font color="#000000"><b>Senetor, </b></font><font color="#000000">unatumia kigezo gani kupima kuwa mtu aliyesoma Bcom-Acc ni bora zaidi ya aliyesoma BAF?. Kwa nini kwenye ACCA huyu wa BAF apate exemptions ya masumo mengi zaidi ya wewe unayesoma Bcom-Accounting. Wanapendelewa labda? Vipi kwnye cut-off points za watu wanaochaguliwa Bcom-accounting na wale wanaoenda BAF? BTW, Sokoni kama umesoma BAF au Bcom-Accounting haikupi added advantage kama huwe kuonyesha uelewa wako na ufanisi wako ambao ndo muhimu kwa mwajiri, hivyo komaa tu umalize shule uje mtaani upambane. Achana na mambo ya kujiona wewe ni bora zaidi ya yule anayesoma IFM au TAA.</font>
hao wote si wahasibu bali ni wasaidizi wa wahasibu,CPA,ACCA ndio mpango mzima nashangaa mnatunishiana misuli hata accounting package zenyewe pengine hamzijui halafu mnaulizana yupi zaidi,mtu mwenye diploma ya acc tu kama alizingatia na kuweka anachofundishwa katika real sense anaweza kuwa mtaalam zaidi kuliko nyie na digrii za kukariri. na hii ni kwa ajili ya mawazo ya kuajiriwa.
<br />
<br />
wat is baaf,me najua BAF 2?
<br />Bachelor of art in accounting and finance.
<br />Sifahamu tatizo lakini Wahitmu wa Mzumbe siyo Vilaza unless huyu ni exception case na hiyo BAF yake, otherwise waliosoma ADCA wako juu sana ki uwezo. MUCOBUS ni vilaza wa kupitiliza
<br /><br /><br />
<br /><br />
mkuu U-great thinker wako ni wa mashaka mno...what a shame kwa msomi kuwa biased kias hiki? Km hujui ukwel kaa kimya..tupe vielelezo kuonyesha ukilaza Wa graduates wa Muccobs..
Senetor; me naamini bcom-accountng anajua mambo mengi kuliko huyo mwana BAF.
Senetor, unatumia kigezo gani kupima kuwa mtu aliyesoma Bcom-Acc ni bora zaidi ya aliyesoma BAF?. Kwa nini kwenye ACCA huyu wa BAF apate exemptions ya masumo mengi zaidi ya wewe unayesoma Bcom-Accounting. Wanapendelewa labda? Vipi kwnye cut-off points za watu wanaochaguliwa Bcom-accounting na wale wanaoenda BAF? BTW, Sokoni kama umesoma BAF au Bcom-Accounting haikupi added advantage kama huwe kuonyesha uelewa wako na ufanisi wako ambao ndo muhimu kwa mwajiri, hivyo komaa tu umalize shule uje mtaani upambane. Achana na mambo ya kujiona wewe ni bora zaidi ya yule anayesoma IFM au TAA.