Hao ni wahasibu kama wahasibu wengine!
Ila ukikazia na CPA unakuwa na soko la maana sana mtaani
Kazi zipo nyomi ila too some extent lazima ukazia na mambo ya ugodfather
Hao ni wahasibu kama wahasibu wengine!<br />
Ila ukikazia na CPA unakuwa na soko la maana sana mtaani<br />
Kazi zipo nyomi ila too some extent lazima ukazia na mambo ya ugodfather
Kazi njenje hao, hawakai mtaani, na ACCA unafanya masomo machache,
Hana k2 huyo..hata me wa bcom-accountn naweza kuwa na soko zaid yake.
<br /><br />nimekupata mkuu,ila afadhali wapi sasa unavyoona wewe?
BAF inapatikana Mzumbe na MUCOBUs..Ofisini kwangu ninaye mmoja. Labda kama ni exception case lakini competence yake katika accounting iko chini ya UDSM na IAA kwa mbali sana
&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
accounting ni accounting 2,hlo jina BAF lckuzuzue...kama ni msoto wote mtaulamba kitaa..2nawaona wengi 2 wanapga hyo baf na wako kitaa,kikubwa we soma mambo mengne ni mbele kwa mbele.
BAF inapatikana Mzumbe na MUCOBUs..<br />
Kwahiyo wanaosoma kwenye hivi vyuo wote ni vilaza?
BAF inapatikana Mzumbe na MUCOBUs..
Kwahiyo wanaosoma kwenye hivi vyuo wote ni vilaza?
Ofisini kwangu ninaye mmoja. Labda kama ni exception case lakini competence yake katika accounting iko chini ya UDSM na IAA kwa mbali sana
<br />mkuu huyo ni graduate wa chuo gani?
<br /><br />
<br /><br />
c umeambiwa ni mzumbe.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us