Mayela chalya's
Member
- Sep 7, 2013
- 28
- 43
habari wana jamii forum. naomba kuuliza kwa anaejua vzr anieleweshe, mm nasoma bachelor OUT(open university of Tanzania) ila nataka mwishoni mwa mwaka huu niombe kwenda kuanza bachelor Mzumbe ili nipate Admission letter ambayo ntaitumia kuomba ruhusa kazini ili nikaendelee kusoma Bachelor yangu ya open kwa uhuru zaid nikiwa mtaani. JE HILI SWALA LINAWEZEKANA??!
I'm very serious about this so please help me with serious answers
I'm very serious about this so please help me with serious answers