Bachelar of Fine Arts and Design.

Bachelar of Fine Arts and Design.

Very true,km anamtazamo wa kuajiriwa vyuo vya veta vingi vinauhaba wa waalimu wa fani hii,anaweza enda huko,lkn pia kuna fani nyingi huko
Ila una povu sana mzeiya...

Na ww hujajitofautisha na wasiojua.

Kama unakijua kitu..toa details tembea. Kuanza pigana maswali hapa sio mzuka.

Ciaoo..
 
mwaya
Wanabodi, mdogo angu kachaguliwa kujiunga na fani ya Fine Arts and Design(UDOM & UDSM). Hivi mtu huyu atapata mkopo? ajira zake zipoje? Naomba kuwasilisha.
mwayaa..io kozi ni nzur sana na pia the gud thing anapenda sanaa sasa apoo anaweza hata kujiajili atatoka tu tatizo wabongo tunacomplicate mambo..
 
mwaya

mwayaa..io kozi ni nzur sana na pia the gud thing anapenda sanaa sasa apoo anaweza hata kujiajili atatoka tu tatizo wabongo tunacomplicate mambo..
na pia kuhusu mkopo anaweza aspate au apate it depends ila most of them hawapati hundred percent
 
Mshauri akasomee ata Udereva..Fine arts Kwa Nchi zetu za Africa, Ni Kama Anacheza Biko Tu...
wastage of Time and Money
 
Daaaaaah, nimecheka sana.....dogo anataka kusoma Sanaa seriously, mwambie aache ujinga. Mimi nasoma procurement and logistics nina mkopo na nafanya Sanaa na sijaisomea.
Mkuu upo nit nini?
 
Tuje kwenye hoja ya kwanza ya mdau,
Je atapata mkopo?
Nnavojua mm mkopo ni kwa mwanafunzi yyte anaetoka familia ya chini aliyekidhi vigezo,
Vigezo ni vipi
Ni rahisi zaidi kupata mkopo km alitokea shule za kawaida,km alisoma shule za kulipia wanamchukulia anatoka kwenye familia inayojimudu,
Lkn ni kweli wa sayansi wanaangaliwa zaidi japo haina maana wa art hawawezi pata mkopo,ilimradi athibitike anatoka familia ipi na ufaulu wake upije,
Hivi ndo nnavyojua Mimi,km kuna la zaidi wajuzi wataongezea zaidi
Mkuu ukiandika baba amefariki, lkn ulipoambiwa weka death certificate, ukasema not inplace yan hakipatikan kwa wakati uliokuwa unaaply, je inaweza ikawa sababu ya kukosa mkopo ilihali vigezo vyote unavyo ikiwemo kusoma kama private candidate kutoka olevel hadi advance?
 
Back
Top Bottom