Baby ntumie Laki niende Saluni

Baby ntumie Laki niende Saluni

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,439
Reaction score
3,952
rg.jpg
 
Hapo sasa, hata sie tunapoomba huwa tunaangalia na mtu
kwani kakwambia kazi anayoifanya si majigambo yake, ulimwambia huniwezi matumizi yangu makubwa yeye kakwambia ntaweza hakuna kinachoshindikana chini ya jua unafanyaje si unaomba tu
 
Kama mwanaume ni msiri hakwambii kazi anayoifanya unafanyajae si unaomba tu hela maana anajileta na majigambo yake kuwa oh nina pesa
Hapo ndo mnapokwama sasa! Unaongea uongo ili iwejee! Mtu anapenda uongo wako na sio wewe!
 
kwani kakwambia kazi anayoifanya si majigambo yake, ulimwambia huniwezi matumizi yangu makubwa yeye kakwambia ntaweza hakuna kinachoshindikana chini ya jua unafanyaje si unaomba tu
Aisee kumbe muombwe tu hakuna namna
 
Back
Top Bottom