Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,932
- 4,697
Kuna better life in christ kuliko huko kuponywa na dawa ya Babu na kesho unaugua mafua, malaria, typhoid etc kweli ikiingia ndani yako basi ugonjwa ukigusa mwili wako wenyewe una surrender na kupiga magoti nimekoma sinta rudi tena. Kwanini ukapange foleni na wengine kufa kabla ya kupata kikombe cha Babu huku unaweza tu ukajiwekea mwenyewe maji free kutoka kwa Yesu just from the atmosphere? Its possible to live such kind of life thats the whole mission of why Christ came and died for us.
Pata shule hapa;
|| Pastor Chris Online - Channel ||
|| Pastor Chris Online - Channel ||
Do you want to live in the night of your life of day of your life?
I choosed to live in the day of my life and am preaching so that others may discover themselves and come out of their dark life to the greater life where they would enjoy life in sunshine.
.
Nipo kwwenye engo ya ubize kama sivyo tungeelimishana
kwa hili. Pastor Chriss mbona ana doctor wake na anafahamika?. Hivi hamna watu waliowahi kufa katika njia ya imani yenu? Hayo maradhi yaliyawasababishia kifo yalitoka wapi? Au anataka kutuaminisha walilala wazima kabisa kiafya ila wakafia usingizini?
Sikatai uwezo mkuu wa nguvu za Bwana Yesu, na sijawahi kumwekea mipaka, ila napingana na wahubiri wanaofikiri Mungu huwasikiliza wao na wala sii wao kujisalimisha kwake.
.