NOT ENOUGH
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 596
- 307
Kuna tetesei kuwa babu wa Loliondo amesikia vilio vya wagonjwa kulingana na umbali na taratibu za ugawaji dawa. Baada ya hayo babu ameamua kuhamia katika mji wowote nchini kwetu na ndio ambampo atakuwa anatoa dawa. Hii itasaidia watu wengi kupata fursa ya kupata dawa. Kulingana na urahisi huo babu ameongeza sharti moja ambalo ni.
1. KABLA YA KUNYWA DAWA ITABIDI UUNGAME DHAMBI ZAKO
2. NA BAADA YA HAPO UTAKULA KIAPO KWAMBA UKINYWA DAWA HAUTA KAA UZINI NJE YA NDOA YAKO.
NAHISI WANYWAJI DAWA WATAONGEZEKA SANA
1. KABLA YA KUNYWA DAWA ITABIDI UUNGAME DHAMBI ZAKO
2. NA BAADA YA HAPO UTAKULA KIAPO KWAMBA UKINYWA DAWA HAUTA KAA UZINI NJE YA NDOA YAKO.
NAHISI WANYWAJI DAWA WATAONGEZEKA SANA