Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Umati wa watu umesema utaombolez kifo cha mtoto wa babu kwa matanga mpaka atakaporudi ijumaa kutoka babati alikofiwa na mwane miaka 43
wakiongea kwa uchungu wamesema wanasikitika sana kuona msiba ukifikwa kwa mtu mkubwa kama huyu kutoka kwa mungu..hata hivyo wamechangishana kusubiri kumkabidhi babu hela zake za rambi rambi...
Sijui atapokea???
Kwa wanaomjua jamani babu lazima awee na bibi sijui bibi yuko wapi jamani nimejaribu kuangalia waangalizi wake naona vidume tu..babu embu tujulishe jamani tumekuja hapo lakini tunamiss bibi yetu!!
wakiongea kwa uchungu wamesema wanasikitika sana kuona msiba ukifikwa kwa mtu mkubwa kama huyu kutoka kwa mungu..hata hivyo wamechangishana kusubiri kumkabidhi babu hela zake za rambi rambi...
Sijui atapokea???
Kwa wanaomjua jamani babu lazima awee na bibi sijui bibi yuko wapi jamani nimejaribu kuangalia waangalizi wake naona vidume tu..babu embu tujulishe jamani tumekuja hapo lakini tunamiss bibi yetu!!