Huyu ndiye mbunge aliepita bila kupingwa!👇🐒🐒🐒Eti alipita bila kupingwa
Nchi hii ngumu sana yani!!!Huyu ndiye mbunge aliepita bila kupingwa!
View attachment 1841430
Huyu alipataje ubunge?naona hata kuongea tu haweziHuyu ndiye mbunge aliepita bila kupingwa!👇🐒🐒🐒
View attachment 1841430
Huyu alipataje ubunge?naona hata kuongea tu hawezi
Who is Diamond by the way?Meneja wa diamond sio cv ndogo... huyo ata visa ubalozi wa nchi yeyote hakataliwi
Out of topicInakuwaje Mbunge Anazunguka Na Msanii Wakati Jimboni Wananchi Wanakunywa Maji Kwenye Madimbwi,Ifike Mahala Terms Za Kiongozi Anaewakilisha Wananchi Zibadilike.
Rasimu ya Warioba ilitupa wananchi mamlaka ya kuwajibisha wabunge wakaleta uhuni
View attachment 1841366
Wengi tu wapo wamehifadhi ujinga na wengine haibu kwao, mtu akiwa na kazi fulani hawezi kufanya nyingine kisa HAIBU na KUJICHORA.
Nchi Ngumu SanaNi HAIBU kwa kweli.
Who is Diamond by the way?
Kupe HuyoKila siku yani
Yani mpaka leo unajua wasafi TV na Radio ni mali ya Diamond? Endelea na ujinga wakoDiamond plutnumz is a Tanzanian bongo flava recording artist, actor, dancer, philanthropist and a businessman from Tandale, Dar es Salaam. He is the founder and CEO of WCB Wasafi Record Label, Zoom Extra, Wasafi TV, a Tanzanian media outlet, and Wasafi Fm, one of Tanzania's latest radio stations.[2]
Yani mpaka leo unajua wasafi TV na Radio ni mali ya Diamond? Endelea na ujinga wako
Endelea na ujinga wako ndio maana wazungu hawapiti kwenye Wikipedia, wanawajua kuna watu wajinga kama nyinyi anaondanganywa na views wa Youtube.Nenda kabishane na wikipedia ama brela wanaposajili makampuni... kwani asilimia 45 za wasafi media hazimiliki yeye, zuckerberg anatambulika kama mmiliki wa facebook ila ana share asilimia ndogo facebook kuliko hata za diamond na wasafi media