The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
amemtelekeza kwani ni mke wake??
exactly...
amemtelekeza kwani ni mke wake??
Je sisi wengine tumefanya lolote? Au tunapeleka lawama tu kwa aliyejaribu kwa uwezo wake kufanya chochote?Wadau meneja anayejiita msujudiwa ma muziki huku sasa maisha yake yakitegemea kuishi kupitia Diamond amemterekezza Rapa mahili Chid benzi. Jamaa kwa mbwembwe alimpeleka sober house kisha. Baadaye akafanya track pale wasafi records Akiwa amemshirikisha Raymond unaambiwa amemterekeza baada ya kuona return yake ya matibabu hajirudi wakati yeye alimbebesha sana mzigo Enzi zake sasa Chid benzino yupo zake ilala Hana hamu View attachment 395572
kwan mpka pale alipofika mlitaka tale amsaidiaje tena?
Sasa si mngesema tu kuliko maelezo mengiiiAmuolee mke.
Haswaa mkuu, yaani hao watu ni wasumbufu balaa, ukimwachia upenyo kidogo tu anajilipua. Yaan huyu ilitakiwa akae sober hata 6months ili aweze kukabiliana na alosto. Nadhan haeleweki huyoLabda huyo chid benz haeleweki maana Kama ukihitaji kumsaidia mtu afu yeye mwenyewe akawa hajielewi basi unaachana naye unafanya mambo mengine, maana hao wala ngada nao nasikia ni Ngumu kuacha.
Ikiwa hakuweza kuwa mvumilivu kule sober house unadhan yupo tayari kuacha ngada? Mkuu huyu anatakiwa awe tayari yy mwenyewe na kisha wanaomzunguka inakuwa rahisi kwao kumsaidiaapewe pesa, matibabu, malazi, apelekwe studio, atengenezewe video kali, na atufutiwe shoo kali za kitaifa na kimataifa..
Unataka asaidiweje?
Usimpe lawama mtu ambaye hakumfundisha kula sembe, ni ujinga wake na upoyoyo na kiherehere juu ndio vilaumiweWadau meneja anayejiita msujudiwa ma muziki huku sasa maisha yake yakitegemea kuishi kupitia Diamond amemterekezza Rapa mahili Chid benzi. Jamaa kwa mbwembwe alimpeleka sober house kisha. Baadaye akafanya track pale wasafi records Akiwa amemshirikisha Raymond unaambiwa amemterekeza baada ya kuona return yake ya matibabu hajirudi wakati yeye alimbebesha sana mzigo Enzi zake sasa Chid benzino yupo zake ilala Hana hamu View attachment 395572
Hayo yote wewe unaweza kuyataa kama msaada hata kama ni ndugu yako?apewe pesa, matibabu, malazi, apelekwe studio, atengenezewe video kali, na atufutiwe shoo kali za kitaifa na kimataifa..
Ikiwa hakuweza kuwa mvumilivu kule sober house unadhan yupo tayari kuacha ngada? Mkuu huyu anatakiwa awe tayari yy mwenyewe na kisha wanaomzunguka inakuwa rahisi kwao kumsaidia
NDIO SI UPENDO WA DHATI.. DUNIA KUPENDANA BWANA EHH.. PIA AMTAFUTIE NA WALINZI MAALUM WA KUMLINDA ILI ASIPATE UPENYOHayo yote wewe unaweza kuyataa kama msaada hata kama ni ndugu yako?
duuu....the so called "spoon feeding"apewe pesa, matibabu, malazi, apelekwe studio, atengenezewe video kali, na atufutiwe shoo kali za kitaifa na kimataifa..
ulimbembesha nan vile? (just kidding)Sijawah kumbebesha mzigo mimi