kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 314
- 1,121
Nyumba ya mzaramu haikosi mbilimbi.......hahahaa!Mrisho mpoto kweny hili kafeli sana,yani mpoto hakuwa na namba ya diamond hadi aende public? Alaf utamuitaje mtu as if aligoma kwenda msibani.
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Anadai alimpigia cm mond hakujibuHii sawa kwani angempigia simu ingekuwaje mpk a post hadharani ukisikia uchonganishi ndio huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Manager anaandika izi badala ya hizi,anaweza kuuchambua mkataba wa msanii wake Kweli?
huyo immature manager ndio kamfikisha diamond alipo...nioneshe mature manager unayemfahamu wewe na msanii wake?
safi sana mpotoMrisho mpoto kweny hili kafeli sana,yani mpoto hakuwa na namba ya diamond hadi aende public? Alaf utamuitaje mtu as if aligoma kwenda msibani.
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Sasa mbona babutale hajui kuandika?Aman iwe juu wakuu
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Babu kale kamnyonyoa vibaya sana mzee Wa kutafuta kiki kwenye misiba ya watu na majina ya watu
Mzee Wa kutembea pekupeku
Mzee asiye na soni
Mtu mzima hovyo
Kubwa jinga
Je kati yako hapo nan mkweli na muwaz kati ya tale na Mrisho mpoto?
Je kwa maon yako kati ya hao nani kaonesha kuwa hapend upuuz upuuzView attachment 1037085
Sent using Jamii Forums mobile app
Very true
Hahahaha Mwanaume wa darMjomba siku hizi anajichubua au editing tu?
Hahahaha Mwanaume wa dar
Hapa kama manager ana clear kwenye jamii madhala aliyoyaleta Mpoto kwa kufanya uma uamini Diamond hakutaka kwenda msibani ila kwa shinikizo lake ,njia pekee ni kumjibu hadharani umma ujue Diamond alienda kwa hiali kama mtanzania wa kawaidaHii sawa kwani angempigia simu ingekuwaje mpk a post hadharani ukisikia uchonganishi ndio huu
Sent using Jamii Forums mobile app