well said FaizaKufa CCM is not an issue na ukirudi kwenye posts zangu huko nyuma utakuta nimesemakuwa siamini kama vyama vya kibanaadam vitakaa daima hapa duniani, na pia nimesema vyama vingi kabla ya CCM vilikuwepo na vimekufa, point yangu ni huyu Mzee kusema kwa uhakika kabisa kuwa yeye hafi kabla ya CCM kufa. Yeye anaushirika na Mungu? hata ajue lini atakufa?