BABU: Sitakufa kabla ya CCM kufa!

Kufa CCM is not an issue na ukirudi kwenye posts zangu huko nyuma utakuta nimesemakuwa siamini kama vyama vya kibanaadam vitakaa daima hapa duniani, na pia nimesema vyama vingi kabla ya CCM vilikuwepo na vimekufa, point yangu ni huyu Mzee kusema kwa uhakika kabisa kuwa yeye hafi kabla ya CCM kufa. Yeye anaushirika na Mungu? hata ajue lini atakufa?
well said Faiza
 
mimi nilimpenda huyu mzee nafikiri ana ujumbe muhimu kwa watanzania - nani mwenye contact zake, jina na anakopatikana?
 
BABU ALIYETOA MFANO WA KINYONGA.
Babu mzee sana alitoa unabii kama uliowahi kutolewa na Nabii wa Nazaleti, kuwa hatakufa mpaka atakapomuona Yesu, na mzee huyu leo ametoa unabii huo kwa kusema kuwa hatakufa kabla ccm haijafa, akatoa mifano mingi ya kuwataka viongozi wawe waadilifu na akashangiliwa sana.
Mfano alioutoa Babu wa kinyonga kufa akiwa tayari amefikia term(yaani miezi ya kujifungua)ni mfano dhahili akilenga ccm ni lazima ife ili mfumo wa vyama vingi uwe huru na wa haki, hapa sio tu kwa ccm bali hata vyama vyote vya siasa vina jukumu la kufa kiitikadi,kimitazamo, kiimani na kimienendo na hata kisera/kiorganisation, ili viweze kuwa na mitazamo imara na ya dhati, na ili viweze kudumu mioyoni mwa wananchi na viweke misingi ya kudumu ya kujiendesha kimgawanyiko wa kiutendaji, ndio tafasiri ya kufa na kufufuka upya, kufa pia kuna maana ya kuwaweka watendaji wenye sifa katika ngazi husika na sio kama ilivyo kwa vyama vyetu hapa tz, vyenye viongozi wanaotumia nafasi zao kuwateua watu kwa vigezo wajuavyo wenyewe na sio uwezo wala sifa dhahili, hapa bila kukubali kuliwa na kufa ili vifufuke upya,kama babu alivyotoa mfano wa kinyonga, hatutaona kipya i swear!!
NIWATAKIE MAATAZMIIO MEMA YA KATIBA MPYA...
 
Naona umesahau kama kuna Kilimo Kwanza, na hiyo ni sera ya nani? Na umesahau ajira zinazozalishwa zaidi ya awamu yoyote ile, hiyo ni sera ya nani?
<br />
<br />
Huwezi kuwaingiza watu mkenge kwa hoja chovu kama hizo, kilimo kwanza kwa power tiller za kulimia bustani za maua na matrekta aghali ya suma jkt!? it's a daydream dear lady!
 
Naona umesahau kama kuna Kilimo Kwanza, na hiyo ni sera ya nani? Na umesahau ajira zinazozalishwa zaidi ya awamu yoyote ile, hiyo ni sera ya nani?
<br /> <br / njaa imetokea wapi tanzania km kn kilimo kwanza? kilimo kwanza ni wimbo wa jukwaani km ulivyo wa ccm ccm ccm namba one wkt kiukweli ni namba -0
 
<br />
<br />
Huwezi kuwaingiza watu mkenge kwa hoja chovu kama hizo, kilimo kwanza kwa power tiller za kulimia bustani za maua na matrekta aghali ya suma jkt!? it's a daydream dear lady!

Kilimo kwanza hakihusishi power tiller pekee, kilimo kwanza ni kila kitu kihusucho kilimo, pasipo faa power tiller patapelekwa kinachofaa. Hivi ukanunue power tiller mahali pakulima na trekta la horse power 200 utakuwa una akili sawasawa?

Nakuona kuwa u mbumbumbu wa kutupwa, hujui kuwa maua ni zao moja lenye faida sana duniani? kweli umbumbumbu umekukithiri. Leo Mbeya kiwanja cha ndege cha Kimataifa kina pigiwa debe haraka haraka ili waweze kulima maua kwa wingi, kama hujui umuhimu wa mazao ya maua tafadhali nenda Arusha na Moshi ukawaeleze hayo, magwanda wenzako watakucheka kwa hilo, wengi wako huko na wanafaidika sana na maua.

Ukumbuke kuhusu Kilimo kwanza, dhanna yake sio kutoa matrekta ya bure,kama unaona ya Suma ni ghali wala hujalazimishwa lazima ukanunue hayo, unaweza hata wewe kuleta matrekta ya rahisi, mbona wengi sana wanaleta hata ya mitumba na yote hayana ushuru kabisa, au hayo huyajui. Kama wewe unangoja ya bure, utangoja sana. Hata huyo Slaa na Mbowe hawawezi kukupa cha bure, kama unabisha nenda pale Bilicanas ukaone kama kuna bure pale! au nenda CCBRT. Usintie kichefu chefu kwa kuongea utumbo.
 
Kilimo kwanza hakihusishi power tiller pekee, kilimo kwanza ni kila kitu kihusucho kilimo, pasipo faa power tiller patapelekwa kinachofaa. Hivi ukanunue power tiller mahali pakulima na trekta la horse power 200 utakuwa una akili sawasawa?

Nakuona kuwa u mbumbumbu wa kutupwa, hujui kuwa maua ni zao moja lenye faida sana duniani? kweli umbumbumbu umekukithiri. Leo Mbeya kiwanja cha ndege cha Kimataifa kina pigiwa debe haraka haraka ili waweze kulima maua kwa wingi, kama hujui umuhimu wa mazao ya maua tafadhali nenda Arusha na Moshi ukawaeleze hayo, magwanda wenzako watakucheka kwa hilo, wengi wako huko na wanafaidika sana na maua.

Ukumbuke kuhusu Kilimo kwanza, dhanna yake sio kutoa matrekta ya bure,kama unaona ya Suma ni ghali wala hujalazimishwa lazima ukanunue hayo, unaweza hata wewe kuleta matrekta ya rahisi, mbona wengi sana wanaleta hata ya mitumba na yote hayana ushuru kabisa, au hayo huyajui. Kama wewe unangoja ya bure, utangoja sana. Hata huyo Slaa na Mbowe hawawezi kukupa cha bure, kama unabisha nenda pale Bilicanas ukaone kama kuna bure pale! au nenda CCBRT. Usintie kichefu chefu kwa kuongea utumbo.

halafu bajeti ya kilimo kwanza 90% imetengewa mkoa wa dar es salaa, hongera ccm kwa kulima kwenye maghorofa. halafu we mdada unatafutwa kwenye thread fulani hivi, nenda kajibu maswali
 
Ni yeye tu ajuaye saa na dakika
zhu.jpg

gongsi.jpg

ht.jpg
 
Kilimo kwanza hakihusishi power tiller pekee, kilimo kwanza ni kila kitu kihusucho kilimo, pasipo faa power tiller patapelekwa kinachofaa. Hivi ukanunue power tiller mahali pakulima na trekta la horse power 200 utakuwa una akili sawasawa?<br />
<br />
Nakuona kuwa u mbumbumbu wa kutupwa, hujui kuwa maua ni zao moja lenye faida sana duniani? kweli umbumbumbu umekukithiri. Leo Mbeya kiwanja cha ndege cha Kimataifa kina pigiwa debe haraka haraka ili waweze kulima maua kwa wingi, kama hujui umuhimu wa mazao ya maua tafadhali nenda Arusha na Moshi ukawaeleze hayo, magwanda wenzako watakucheka kwa hilo, wengi wako huko na wanafaidika sana na maua.<br />
<br />
Ukumbuke kuhusu Kilimo kwanza, dhanna yake sio kutoa matrekta ya bure,kama unaona ya Suma ni ghali wala hujalazimishwa lazima ukanunue hayo, unaweza hata wewe kuleta matrekta ya rahisi, mbona wengi sana wanaleta hata ya mitumba na yote hayana ushuru kabisa, au hayo huyajui. Kama wewe unangoja ya bure, utangoja sana. Hata huyo Slaa na Mbowe hawawezi kukupa cha bure, kama unabisha nenda pale Bilicanas ukaone kama kuna bure pale! au nenda CCBRT. Usintie kichefu chefu kwa kuongea utumbo.
<br />
<br />
Bravo a MEGA times FAIZA by driving a point HOME, sadly however kuna members wako hell bent kubeza kila jitihada azifanyazo JK kutuletea maendeleo katika nchi hii. Nimetoa hili kama angalizo, sasa subili majibu watakayo yatoa, utasikia wewe umetumwa, wewe kilaza etc, as far as they're concern anything JAKAYACENTRIC no GO AREA.
 
Huyo kajichuria mwenyewe.

Nakumbuka katika kusherehekea miaka 75, Nyerere alisema hana sababu ya kufa kabla hajafika 100 kwani mama yake kafika.

Baada ya mwaka na alipokwisha jijua kuwa ana leukemia akabadili msemo akasema kisha pitisha muda wa kuishi ulioandikwa kwenye biblia.

Mungu hakajeliwi. Ni yeye tu ajuaye saa na dakika.


Na vp kuhusu shekhe Yahya wenu aliyejifanya Mungu mtu wa kujenga watu ofu waiamini CCM? Sema hapo.
 
Mzee kasema kweli lazima ccm ife ili nchi isonge mbele!

Kwa mujibu wa masharti ya kuanzisha vyama vya siasa CCM ni batili, kwani vyama vyote vilivyokuwepo kabla ya mfumo wa vya vingi, havikutakiwa kusajili wala kutumia majina ya zamani.
 
Huyo kajichuria mwenyewe.

Nakumbuka katika kusherehekea miaka 75, Nyerere alisema hana sababu ya kufa kabla hajafika 100 kwani mama yake kafika.

Baada ya mwaka na alipokwisha jijua kuwa ana leukemia akabadili msemo akasema kisha pitisha muda wa kuishi ulioandikwa kwenye biblia.

Mungu hakajeliwi. Ni yeye tu ajuaye saa na dakika.
dada uko juu.
 
Kwa mujibu wa masharti ya kuanzisha vyama vya siasa CCM ni batili, kwani vyama vyote vilivyokuwepo kabla ya mfumo wa vya vingi, havikutakiwa kusajili wala kutumia majina ya zamani.
wafa maji CCM imerudi kwa wananchi Chama sasa kiko juu!
mtajuta .
 
Back
Top Bottom