FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,188
nadhani ulimsikiliza vizuri yule mzee kwenye mdahalo!! Kama bwana yenu Kikwete ni mtu wa 'good morning sir'... tutategemea nini kwa nyinyi watwana wake!! bwana wenu anaona kuwa na foleni ndefu na ku own blackberry ni maendeleo ..tutategemea mtazamo gani kwa nyinyi watwana wake....! funguka dada.... usipofunguka tutakufungua tu kwa lazima! mtwana mkubwa!
Nilimsikia pia aliposema msimfanye Nyerere kuwa Mungu au hukumsikia? kama ulimsikia mbona na hiyo huisemi? Mtwana babako.